Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa iyo nyie matakataka wote mpo liverpool halisi? Kweli Malafyale m'babe wao..wote mumelegeza kwake
 
Wakuu Kuna updates zozote kuhusu kusajili
Updates Mkuu wanaangalia short term option na long term option...

Wanaotajwa ni
Aaron Long kutoka New York Red Bull

Mustafi kutoka Arsenal

Elder Militao kutoka Real Madrid

Issa Diop kutoka Westham.

Ben White kutoka Brighton..

Steven Caucker kutoka Alanyaspor

Fununu ni kwamba timu nyingi wanataka kutoa mchezaji kwetu kwa mkopo na kuwe na kipengele cha kumnunua baada mkopo ukimalizika..

Kwa mfano Elder Militao wanataka Real Madrid £50m.. Issa Diop Westham wanataka £25m..nk

Mtihani uliopo sasa ni kwamba lazima Liverpool iuze non homegrown players mmoja ili kutoa nafasi ya usajili mpya kutimiza wachezaji 25 wanaosajiliwa na EPL ama ifute usajili wa mchezaji mmoja..

Aidha kwa sasa wanajaribu kumwachia Adrian bure kabisa kwani mkataba wake unaisha June 2021 na alishakua chaguo la tatu hivyo hata akiodoka timu haina wasiwasi...

Option nyingine ni kufuta usajili jina la VVD kwa msimu huu mzunguko wa pili ili kujaza hio nafasi endapo watapata mchezaji wa non homegrown.. Hii ina mtihani kwani Klopp na watalaam wake wa rehab wanaamini VVD atapona na kucheza tena msimu huu...

Ni mwendo wa kusubiri ndugu..

YNWA
 
Updates Mkuu wanaangalia short term option na long term option...

Wanaotajwa ni
Aaron Long kutoka New York Red Bull

Mustafi kutoka Arsenal

Elder Militao kutoka Real Madrid

Issa Diop kutoka Westham.

Ben White kutoka Brighton..

Steven Caucker kutoka Alanyaspor

Fununu ni kwamba timu nyingi wanataka kutoa mchezaji kwetu kwa mkopo na kuwe na kipengele cha kumnunua baada mkopo ukimalizika..

Kwa mfano Elder Militao wanataka Real Madrid £50m.. Issa Diop Westham wanataka £25m..nk

Mtihani uliopo sasa ni kwamba lazima Liverpool iuze non homegrown players mmoja ili kutoa nafasi ya usajili mpya kutimiza wachezaji 25 wanaosajiliwa na EPL ama ifute usajili wa mchezaji mmoja..

Aidha kwa sasa wanajaribu kumwachia Adrian bure kabisa kwani mkataba wake unaisha June 2021 na alishakua chaguo la tatu hivyo hata akiodoka timu haina wasiwasi...

Option nyingine ni kufuta usajili jina la VVD kwa msimu huu mzunguko wa pili ili kujaza hio nafasi endapo watapata mchezaji wa non homegrown.. Hii ina mtihani kwani Klopp na watalaam wake wa rehab wanaamini VVD atapona na kucheza tena msimu huu...

Ni mwendo wa kusubiri ndugu..

YNWA
Aiseeeee mambo ni magumu sana
 
Aiseeeee mambo ni magumu sana
Taarifa ni kwamba bila kuumia Matip na Fabinho wiki hii Liverpool wasingeingia sokoni kununua CB January hii..

Haya majeraha ya wiki hii yamebadili tena msimamo wa klabu kuingia sokoni na kimbaya zaidi muda haupo aisee..

Mpango ulikua wasajili CB kutoka RB Ujeremani Dayot Upamecano Juni 2021 wakati kipengele cha bei yake kitashuka mpaka £38m, huyu dogo ni long term wamefanya profiling ya kutosha na wamejiridhisha ana fit kwenye philosophy ya Liverpool... Japo sasa Dayot ikifika Juni nae wahitaji ni wengi kuanzia Manchester United, Real Madrid, Bayern Munich nk

Ngoja tuone ndugu ukute hata hao wanaotajwa hatachukuliwa hata mmoja mbali watanunua asietajwa kwani Edwards hua hatabiriki..

YNWA
 
Taarifa ni kwamba bila kuumia Matip na Fabinho wiki hii Liverpool wasingeingia sokoni kununua CB January hii..

Haya majeraha ya wiki hii yamebadili tena msimamo wa klabu kuingia sokoni na kimbaya zaidi muda haupo aisee..

Mpango ulikua wasajili CB kutoka RB Ujeremani Dayot Upamecano Juni 2021 wakati kipengele cha bei yake kitashuka mpaka £38m, huyu dogo ni long term wamefanya profiling ya kutosha na wamejiridhisha ana fit kwenye philosophy ya Liverpool... Japo sasa Dayot ikifika Juni nae wahitaji ni wengi kuanzia Manchester United, Real Madrid, Bayern Munich nk

Ngoja tuone ndugu ukute hata hao wanaotajwa hatachukuliwa hata mmoja mbali watanunua asietajwa kwani Edwards hua hatabiriki..

YNWA
Hela si Ipo kwanini maamuzi ya dhati hayafanyiki
 
Manchester united naona ile nafasi yao pendwa inawafuata kwa kasi..

Ilisemwa sana je Bruno uchovu ukimkamata wana plan B wakaishia bla bla sasa tutaelewana nina imani kale ka upepo ka January tumekaacha rasmi na tupo sasa kikazi zaidi...

Manchester City bila KDB wanakosa creativity... Baada ya kuangalia gemu yao ya leo nimeona upo uwezekano waka drop pointi ndani ya hii miezi 4...

Tupambane tushinde mechi zetu..

YNWA
 
Hela si Ipo kwanini maamuzi ya dhati hayafanyiki
Dayot hawataki kumuuza mwezi huu ndugu huku pia ujue tunakutana nao Champion League mapema February hii

Kama umemsikiliza Klopp vizuri alivyotoa ufanunuzi wa haya mambo anasema watanunua tu endapo ni mchezaji bora zaidi ya waliopo na bei iwe ina ushirikiano na wages pia...

Ndio maana aliona asubiri rasmi amdake Dayot Juni 2021...

Kama Adrian anaodoka inakua ni blessings in disguise kwani kwanza klabu inapata nafasi ya noni homegrown lakini pia wanasevu wages zake kuja kulipa CB kama watampata.. Ukumbuke Adrian anakula mshahara huku ukijua upo uwezekano asicheze tena Liverpool kwani FA na Carabao hatupo hivyo sioni akija kupata tena nafasi... Kile kipigo cha Aston Villa kilimshusha mno klabuni yaani ni kama hayupo...

YNWA
 
Dayot hawataki kumuuza mwezi huu ndugu huku pia ujue tunakutana nao Champion League mapema February hii

Kama umemsikiliza Klopp vizuri alivyotoa ufanunuzi wa haya mambo anasema watanunua tu endapo ni mchezaji bora zaidi ya waliopo na bei iwe ina ushirikiano na wages pia...

Ndio maana aliona asubiri rasmi amdake Dayot Juni 2021...

Kama Adrian anaodoka inakua ni blessings in disguise kwani kwanza klabu inapata nafasi ya noni homegrown lakini pia wanasevu wages zake kuja kulipa CB kama watampata.. Ukumbuke Adrian anakula mshahara huku ukijua upo uwezekano asicheze tena Liverpool kwani FA na Carabao hatupo hivyo sioni akija kupata tena nafasi... Kile kipigo cha Aston Villa kilimshusha mno klabuni yaani ni kama hayupo...

YNWA
Atoke tu huyo Adrian sijawahi kumwelewa kabisa
 
Wana Liverpool HALISI leo tuna mechi muhimu sana,tuzidi kuwa nyuma ya team muda ukifika!
In Klopp,we trust
 
Updates Mkuu wanaangalia short term option na long term option...

Wanaotajwa ni
Aaron Long kutoka New York Red Bull

Mustafi kutoka Arsenal

Elder Militao kutoka Real Madrid

Issa Diop kutoka Westham.

Ben White kutoka Brighton..

Steven Caucker kutoka Alanyaspor

Fununu ni kwamba timu nyingi wanataka kutoa mchezaji kwetu kwa mkopo na kuwe na kipengele cha kumnunua baada mkopo ukimalizika..

Kwa mfano Elder Militao wanataka Real Madrid £50m.. Issa Diop Westham wanataka £25m..nk

Mtihani uliopo sasa ni kwamba lazima Liverpool iuze non homegrown players mmoja ili kutoa nafasi ya usajili mpya kutimiza wachezaji 25 wanaosajiliwa na EPL ama ifute usajili wa mchezaji mmoja..

Aidha kwa sasa wanajaribu kumwachia Adrian bure kabisa kwani mkataba wake unaisha June 2021 na alishakua chaguo la tatu hivyo hata akiodoka timu haina wasiwasi...

Option nyingine ni kufuta usajili jina la VVD kwa msimu huu mzunguko wa pili ili kujaza hio nafasi endapo watapata mchezaji wa non homegrown.. Hii ina mtihani kwani Klopp na watalaam wake wa rehab wanaamini VVD atapona na kucheza tena msimu huu...

Ni mwendo wa kusubiri ndugu..

YNWA
Spot on.
Umetoa snapshot nzuri sana, chief.
 
Sijawahi kumuhesabu Mustafi kama ni Mchezaji Mpira but kwa hali tuliyonayo bora aje tu namkaribisha lakini Alipoona VVD na GOMEZ naanza na MustafiOut.B

Sijawahi kumuhesabu Mustafi kama ni Mchezaji Mpira but kwa hali tuliyonayo bora aje tu namkaribisha lakini Alipoona VVD na GOMEZ naanza na MustafiOut.
Bora Philipsi aliokosa uzoefu kuliko huyo tuta anza shuhudia penat za ajabu
 
Kuanzia mechi ya leo yapaswa tushinde at least 10 games consecutively. Hii inaweza kutokea tu pale Fabi & Hendo wakiwa fit. Tupende tusipende, hawa 2 ndiyo nguzo kubwa za timu yetu kwa sasa.

Natamani sana niwe critic wa Hendo lakini kwa misimu hii 2 mfululizo (esp last season) nashindwa kupata sababu nianzie wapi!
Kwa nini natamani kum criticize Hendo? Ni vile nilitamani angekuwa ana possess zile "spectacular specials" za Stevie G. Lakini kwa upande wa performances, anazo positive stats nyingi sana zinazom-back. A lot!

Hendo anacheza basic (not spectacular finesse) football with exemplary consistence. Ni yeye ndiye anayetufanya tuwe na solidity & graft pale kwenye engine room. He is like what Darren Fletcher used to be under babu Fergie. Unsung hero....... ndiyo maana huwezi kumkuta kwenye list ya Ballon D'or contenders hata siku moja.
Kingine, yeye ni mchezaji kiraka - pale dimba la kati anaweza kucheza kama AM au DM. Kwenye defense, nafasi ambayo sijawahi kumuona akicheza ni ugolikipa tu - nyingine zote anacheza vizuri as if ni natural positions zake.

Matusi na mapovu ruksa but mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni tu wajameni!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom