Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Naona kabisa akiliwa leoManure akiliwa leo Mindsets zao zitahamia asipitwe ni Liverpool badala ya kutaka Ubingwa aliojitangazia.
Naona kabisa akiliwa leoManure akiliwa leo Mindsets zao zitahamia asipitwe ni Liverpool badala ya kutaka Ubingwa aliojitangazia.
If Klopp will set up the system with Gini Milner or Jones as half HMs na Thiago apewe that freedom to go more forward basi we are winning all 3 games man...Very easy games hizo but itategemea na ubora wa kikosi chetu tu!
I will take Diop man any day of the week..ISSA DIOP + MUSTAFI
. Sawah mkuu 🙏🙏Mkuu sorry sana Aisee,nilikuwa Nimekuelewa vibaya.
Nilijua ulikuwa unamaanisha,kucheza mechi tukiwa anfield tena,na sio kucheza mechi yoyote aisee,mechi kucheza ni kila weekend na katikati ya wiki.nisamehe bure mkuu.
In klopp we trust.
Wakuu Kuna updates zozote kuhusu kusajili
Sawa mkuuNdiyo najaribu kuperuzi twitter hapa nione utopolo wowote
Naona kabisa akiliwa leo
Muko nafasi ya ngapi wakuu?
Maana mwezi wa pili huo una nyemelea.