zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,322
- 9,771
Na Don Clericuzio Mhazini wetu mkuuSasa rasmi tunakupa Ukatibu wa Liverpool HALISI chini ya mwenyekiti wetu Malafyale.
Kushikamana ndiyo Ngao yetu.


Na Don Clericuzio Mhazini wetu mkuuSasa rasmi tunakupa Ukatibu wa Liverpool HALISI chini ya mwenyekiti wetu Malafyale.
Kushikamana ndiyo Ngao yetu.


Wewe hasa ulikuwa unatakaje? Tufungwe? Imekula kwako na natamani moto huu huu uwakute Manure FC pale OT tuwanyonyoe!nilikua nataka kuzima tv nikaona bale anaingia nikataka nione anavyocheza. hii kros yake imefanya nijute kutozima tv
Mkuu game ilikuaje Jana?
Mzee wa maneno mengi jana kawa mdogo ka Piriton! JK kamdhihirishia kwamba yeye ni mwamba kwake!Kwenye First game Mourinho alilialia kuwa tumepata bahati kwani Timu Bora ndiyo iliyopoteza, sasa sijui na leo atasema nini!
Wewe hasa ulikuwa unatakaje? Tufungwe? Imekula kwako na natamani moto huu huu uwakute Manure FC pale OT tuwanyonyoe!
But swali la Msingi! Gari limeshawaka au ndiyo kama kawaida yetu tunapokutana na Top 6?
Mi nilitaka msuluhu.Wewe hasa ulikuwa unatakaje? Tufungwe? Imekula kwako na natamani moto huu huu uwakute Manure FC pale OT tuwanyonyoe!
Okay vyema sanaHakuna mabadiliko makubwa sana ya kimfumo bali kumeonekana mabadiliko ya baadhi ya wachezaji hasa TAA.
Pia tumeweza kutumia nafasi tulizozipata nalo limepelekea kupata ushindi.
Mi nilishasema nataka msuluhu.Mshabiki wa Arsenal huyo anakuwaga Mchambuzi na Mpiga Ramli at the same time.
Lakini anakuwa makini ndani ya dakika 90 kutojionesha Ramli yake ili asijekosea Ramli yake lakini anataka tufungwe.
Kitu tofauti jana Thiago alikuwa kama number nane fulani hivi alisogea mbele na Firminho alikuwa na link vizuri kama zamani. Mimi naamini siku defenders wetu wakirudi captain na Fab watacheza mbele ya beki zetu na Thiago atakuwa 8 nyuma ya strikers maana ana uwezo wa kukaa na mpira na kupenyeza pasi. Nilikuwa na imani tunapita kipindi kigumu tu lakini team sio nzuri. Liverpool history yetu uvumilivu na kusupport team mwanzo mwisho.Hakuna mabadiliko makubwa sana ya kimfumo bali kumeonekana mabadiliko ya baadhi ya wachezaji hasa TAA.
Pia tumeweza kutumia nafasi tulizozipata nalo limepelekea kupata ushindi.
Ndio hapo utajuwa chuki ya UEFA kwa team za EPL, hapo ingekuwa Liver, CIty au Arsenal ungesikia hatua zinachukuliwa ila hawa wametumia kuliko kipato kwa asilimia mia lakini husikii UEFA kimyaa kama hawaoni. waliisakama City sio kwa madeni bali kutumia pesa za mwenye team tu kuliko income sasa utasikia kama watasema kitu. kimyaaaaaaIts a very sas scenario... Jamaa kaharibu sana timu yaani raisi ajaye ana kibarua sana namna ya kurejesha afya ya timu kipesa...
YNWA
He sure is the messiah...Cheapskates Owners. We are doomed for real man. Only German Nazi now can save us
Kuna upendeleo fulani Uefa kwa timu za Spain kwneye haya mambo...Ndio hapo utajuwa chuki ya UEFA kwa team za EPL, hapo ingekuwa Liver, CIty au Arsenal ungesikia hatua zinachukuliwa ila hawa wametumia kuliko kipato kwa asilimia mia lakini husikii UEFA kimyaa kama hawaoni. waliisakama City sio kwa madeni bali kutumia pesa za mwenye team tu kuliko income sasa utasikia kama watasema kitu. kimyaaaaaa
Milner kama Milner janaa utadhani ana miaka 25 kumbe 35 haha...I was right but next game v/s Westham sisemi kitu kwani sijawa na uhakika Kuwa tumeshapata ufumbuzi wa kucheza na Vibonde.
Tujipe muda kidogoUnless this boys play every game as its last game more like a final we are good to go perhaps they might find thier shooting mojo and score goals again and again and we dont concede....
Klopp need to be realistic with his back line he should go for more experience in Nats now boy is 24 and has shown more steel and vigour than Rys...
We need lady luck man as the little chances being created are now going to waste.. Look at the corners the goals are not coming...
Long are the days when we can even gamble that any team below top 10 is free points lol we are struggling to tame this deep defending teams... Thus why its so difficult for us now.. We aint being feared again like last season.. Teams are now coming ruthless aiming for 1 points or if they lucky 3 points...
Kazi ipo Mkuu..
YNWA
Jana .... Robertson hakupanda Sana nmeona incidence mbili tu za yeye kupandaHakuna mabadiliko makubwa sana ya kimfumo bali kumeonekana mabadiliko ya baadhi ya wachezaji hasa TAA.
Pia tumeweza kutumia nafasi tulizozipata nalo limepelekea kupata ushindi.
tukibahatika pancha Keita akacheza mechi zilizobaki bila kuumia, aisee tutakua moto wa kuotea mbali.......Kitu tofauti jana Thiago alikuwa kama number nane fulani hivi alisogea mbele na Firminho alikuwa na link vizuri kama zamani. Mimi naamini siku defenders wetu wakirudi captain na Fab watacheza mbele ya beki zetu na Thiago atakuwa 8 nyuma ya strikers maana ana uwezo wa kukaa na mpira na kupenyeza pasi. Nilikuwa na imani tunapita kipindi kigumu tu lakini team sio nzuri. Liverpool history yetu uvumilivu na kusupport team mwanzo mwisho.