Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mane kapoteza nafasi ya wazi mwenzie Son kapata nafasi kama ile katufunga
 
Bartomeu ni janga ,hivi kweli Barca ya kupata deni la £1 billion na hamna cha maana kama miaka 6 inapita no UCL tittle
Its a very sas scenario... Jamaa kaharibu sana timu yaani raisi ajaye ana kibarua sana namna ya kurejesha afya ya timu kipesa...

YNWA
 
nilikua nataka kuzima tv nikaona bale anaingia nikataka nione anavyocheza. hii kros yake imefanya nijute kutozima tv
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom