Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hawa FSG kutokana na sera zao za Fedha walikuwa wafate mfumo wa Bayern München tu ingawa kwa uwengereza ni ngumu sana kuimplement.

Bayern ana wachezaji wazuri lakini hata siku moja huwezi kusikia amesaini wachezaji wa bei kubwa.

Anachofanya yeye ni kuvizia wachezaji waliomaliza mikataba akawachukua bure kama kina Goretzka.
Anavizia wachezaji wanaokaribia kumaliza mikataba na kuwasaini kwa bei ya chini kama kina Lewa.
Anajiokotea wachezaji wadogo wenye vipaji kwa njia za Hadaa kama alizotumia kumtoa Serge Gnabry Arsenal kupitia Timu nyengine.
Kuchukua wachezaji wazuri kwa mikopo kama alivyofanya kwa Coutinho, Douglas Costa n.k.

Hizo ndiyo njia wanazotumia Bayern kujipatia Wachezaji bila ya gharama kubwa.

Hivyo na hawa FSG kama wanaona shida kutoa hela basi wangetumia njia kama za Bayern tu kupata wachezaji.
Ila duh mpira una mbinu nyingi sana hii ya Bayern Munich nayo imetulia mno utekelezaji wake nao unahitaji uvumilivu ila kuliko hii cat and mouse game ya FSG naona hii ya Bayern inatufaa kwa sasa...

Wangeanza na kumnasa kwa mkopo CB Elder Militao kutoka Real Madrid...

YNWA
 
2nd goal. Salah
1611513362699.gif
 
Yaani mmeanzisha kikosi kinene na bado mnafanywa hivi? Fanyeni kupindua meza nyie

Mkuu kwani Manure wameweka Kikosi gani? Hapo si wamepungua wawili tu De Gea na Bruno tu.
Mbona hata sisi hatuna wawili Mane na Henderson.
 
Nawapongeza sana Liverpool kwa mchezo wa leo,hii imekwisha tunaenda home kujiandaa na Spurs!
Liverpool HALISI tuzidi kuwa nyuma ya vijana wetu,hamna faida yyt ya kuanza kutukana team.
In Klopp we trust
 
Mkuu kwani Manure wameweka Kikosi gani? Hapo si wamepungua wawili tu De Gea na Bruno tu.
Mbona hata sisi hatuna wawili Mane na Henderson.
Nilitarajia liva aje na kikosi kizima cha ligi. Nilidhani united atataka kutunza wachezaji wake kwa ajili ya ligi, ole had other plans. Hata hivyo leo milkua low mno kama vile siyo nyie mliomiliki mpira kwa 60%

united amestahili ushindi. So Klopp out au bado?
 
Mgonjwa wa kichaa hajawai kupona.

Mtakaa tena miaka 30 ya shida, tabu na mateso kama kawaida yenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom