D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
naunga mkono hoja, hendo anacheza mpaka beki kutokana na utiifu wake mithili ya mataga na mwenyekiti.Hendo kampita hadi Gerrard, sasa kwa nini tumseme?
Kwa miaka zaidi ya 30 hakujawahi kuwa na captain bora kuliko Hendo, sasa kama Klopp na Southgate wanamkubali, nyinyi Liverpool PEP ni nani mmseme? Kwanza hamna football management.
