Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa performance ya Trent kwa hivi sasa ni Bora Right back acheze Milner tu,

Trent need to be dropped
 
Aingie shaqir naona hii game anaeza kwenda nayo sawa
Ox ni mzigo leo hamna mchango wowote kutoka kwake.. Binafsi ningependa kumuona Takumi..

No singo shoti on target sio ishara nzuri sana kwetu...

Shaqir pia anaweza akafanya jambo..

Klopp utamuona akisubiri dakika ya 75 ndio afanye sub huku akiingia Milner...

Hii gemu bado ipo open any team can win... Klopp amtoe mapema Ox asisubiri mpaka dakika zimekwenda...

Jana Bayern walilala 2 bila mpaka half time walivyorudi kipindi cha pili wakaamsha dude na mpaka mpira unaisha wakashinda 5 2...

We are so lazy..

Poor from the Champions elect..

YNWA
 
No chances created..... Tiago pasi za pembeni
Chambo..... Zzz zzz kalala
Salah a naruka ruka Ruka tu
MANE kidogo kwambaaaaaaliiii
GINI kapoaaa
Firminho dorooooooo
Anorld.... Kama hayupo uwanjani yaani kama kanywa dawa ya maleria

Sent using Jamii Forums mobile app
Madogo wamefanikiwa kuchza na mido zenu... Ile kimbia kimbia yenu haipo... Wangekuwa 3 0 now.

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Tukubali au tukutae Rhythm ya from 3 yetu imefika ukomo.
We are damn poor...

Salah baada ya ile interview ya AS naona ni kama wakala wake kashaanza mazungumzo na Real Madrid haha lol...

Ni kama we ain't playing to be champions yaaani tupo kama hatupo...

Kipindi cha pili tuone attitude ya hungry players with a mission...

YNWA
 
Mimi kama shabiki wa Arsenal, naona ni bora mara 100 Liverpool aongoze ligi mpaka mwisho kuliko akiongoza Man Nyumbu.

Natarajia comeback ya maana 2nd half maana naona mijamaa ya manjesta imejazana kushabikia So’ton..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom