Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mpira kwenye nimeamini una bahati zake ndugu maana hao unaosema wachezaji wake japo wametupa ubingwa lakini naamini benchi la Manchester City, Barcelona ama Real hawawezi kuliona..

Kinachofanya tusonge mbele hii timu ni mfumo industrial zaidi kuliko individual brilliance...

We turn the draws to wins and we are sorted...

MF leo nimuone Gini Hendo Thiago...

Pale mbele Mane Takumi Salah...

Nyuma Trent Williams Fabby Robbo

Between the sticks ni Philanthropist Allison...

YNWA
Huyo Takumi bado hajafikia livo ya Boby mbovu labda apangwe kwa lengo lakumtishia nyau Boby
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom