GodsGrace
Member
- Dec 29, 2019
- 41
- 51
Kabisa yanii mm bado naimani na timu majanga ya majeruhi tulionao na bado tupo juu ya msimamo amna timu ambayo ingeweza msimu huu mm naona LFC inanafasi bado man u kuna kipindi walikuwa wanazingua mbaya tuu wametusogelea pressure inaongezeka kuna villa akishinda mechi zake anakaa apo nyuma ya mkiaa tutakuwa tunacheza kwa pressure afu umakini unaweza kuongezekaMkuu hili swala la kuongoza ligi kila mtu alipoongoza ligi ilikuwa inasema tunachukua ubingwa kwa hiyo hata kwa Man U ikitokea ikaongoza ligi sitashangaa kauli zao.
Bado man city kuongoza ligi kwa muda,nayeye akiongoza ligi watu watasema atachukua ubingwa.
Kwa navyoona ligi bado sana kwa sasa hata ukiongoza huwezi kushinda mechi zote mpaka ligi iishe .me nasubiria kuanzia mechi ya 7,8,9 ya mzunguko wa pili pale mtu akiongoza ligi unaogopa maana mechi zinakuwa zimebaki chache.
Me sina wasiwasi najua hilo kombe linarudi tena pale anfield.kelele za man u zisitutishe kabisa wala kuogopa.huyo bruno wao wanao mtegemea ataumia tu wataanza kupoteza.