King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Nataka mniambie bado mnatu-rank nyuma ya City,Spurs na Chelsea?..Hilo tu,
Kwa Spurs na Chelsea tayari umeshawaburuza lakini bado upo kwenye status ya kumaliza League Nyuma ya Man City.
Nataka mniambie bado mnatu-rank nyuma ya City,Spurs na Chelsea?..Hilo tu,
Nina hisia kuwa huenda sisi ndo tukaivunja ile EPL fortress yenu ya hapo Anfield..nina confidence kubwa sana kuhusu hili.
Sawa..nitarejea kuuliza maswali kama haya huko mbeleni mpaka siku mtakayokubali na bingwa ni sisi.Kwa Spurs na Chelsea tayari umeshawaburuza lakini bado upo kwenye status ya kumaliza League Nyuma ya Man City.
Ni kweli mnastruggle sana mnapokutana na hizi timu zilizopo chini,but then again in football lolote linatokea hata kama historia inawabeba.Wanaoweza kufanya hilo unalolihisi ni wale walio kwenye nafasi ya kuanzia 17 mpaka 20.
Au hujabaini kuwa huko ndiyo tunakoharibu zaidi kuliko kwa wale wa Top 6?
Yaani ndugu kumchomeka Hendo hapo wakati takwimu wala hazipo kivile ni kituko... Wenyewe utasikia kuhusu Hendo wakiongelea alivyo......Naona baada ya kukosa mbinu ya kumchomeka kwenye nafasi ya KDB na Bruno wameamua wamtoe Fabinho kwenye Kiungo Mkabaji na wamueke Mtoto wao mpendwa Henderson.
Labda iwe kuna Liverpool ya Nyamagana lakini hii ninayoijua mimi ya Uengereza basi sikumbuki mwaka jana kuwa Hendo alicheza kiungo Mkabaji.
Haha being local UK boy does wonders for this boy...Hendo wa nn![]()
That was the downfall of the great Kop Shankly.... He believed his aging squad could still deliver even when they were early signs of complacency...H
Ili la kutojituma kocha ndo anasababisha kesha kariir tim yake hataki iguswe wachezaji wana uhakika wa namba pesha ya kujituma inapungua.
Ujio wa Jota tumeona kocha alivo hangaika kumlinda Boby.
Front 3 yake isiguswe hata siku ikiwa mbaya kwa mchezaji anakomaa nae tu ndo tunapo kwamia hapo.
Picha zinadanganya sana video ndo reference nzuri
Yaani ndugu kumchomeka Hendo hapo wakati takwimu wala hazipo kivile ni kituko... Wenyewe utasikia kuhusu Hendo wakiongelea alivyo......
..he is such a leader bla bla..
the authority he commands bla bla..
he is such a respected figure in the dressing room bla bla..
He make the MF click bla bla...
Yaani husikii wakizungumzia Hendo na output zake kama
tackles won,
assist,
points won,
aerial blocks,
foul won,
intercepted passes..
Foul won..
Take ons
Pass completed
Shot on goal
Completed dribbles
Important goals... etc
Kumtetea huyu bwana inabidi kwa kweli uwe mbishi haswa wa statistics...
Huyu yupo kwenye hio Sky EPL team of the season ya hao ma pundits wawili sababu ya Uingereza wake...
YNWA
Sawa..nitarejea kuuliza maswali kama haya huko mbeleni mpaka siku mtakayokubali na bingwa ni sisi.
Yaani Waingereza kusifia vyao hawajambo.. Ile nchi ina PR moja matata sana kwenye profiling image ya wachezaji wao.. Watapambwa mpaka basi ila mradi tuwe convinced eti bila Hendo pengine ushindi wa hizi trophies ungekua hafifu.. Bure kabisa...Kwenye mpira hatutaki performance ya Leader bali tunataka out out ionekane kwenye pitch.
Fabinho sio Leader bali anachokifanya ni show-show.
Binafsi ingekua vipi tumnase Saint Maximin kutoka Newcastle ni mchezeshaji na hold up play kuwaleta wengine kweny mchezo, itampa Klopp new dimension of a real namba 10 ili kua na mifumo tofauti...Huyu jamaa mpaka leo mimi bado sijamuelewa! Heri tuendelee na hawa tulionao.
Nafikiri umesahau pia kuwa Man united ndio timu inayoongoza kushinda ugenini. So anything possibleWanaoweza kufanya hilo unalolihisi ni wale walio kwenye nafasi ya kuanzia 17 mpaka 20.
Au hujabaini kuwa huko ndiyo tunakoharibu zaidi kuliko kwa wale wa Top 6?