Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa Spurs na Chelsea tayari umeshawaburuza lakini bado upo kwenye status ya kumaliza League Nyuma ya Man City.
Sawa..nitarejea kuuliza maswali kama haya huko mbeleni mpaka siku mtakayokubali na bingwa ni sisi.
 
Wanaoweza kufanya hilo unalolihisi ni wale walio kwenye nafasi ya kuanzia 17 mpaka 20.
Au hujabaini kuwa huko ndiyo tunakoharibu zaidi kuliko kwa wale wa Top 6?
Ni kweli mnastruggle sana mnapokutana na hizi timu zilizopo chini,but then again in football lolote linatokea hata kama historia inawabeba.

Malizaneni wa Soton kwanza Jumatatu ili buildup ya mechi yetu ianzs rasmi sasa..
 
Naona baada ya kukosa mbinu ya kumchomeka kwenye nafasi ya KDB na Bruno wameamua wamtoe Fabinho kwenye Kiungo Mkabaji na wamueke Mtoto wao mpendwa Henderson.
Labda iwe kuna Liverpool ya Nyamagana lakini hii ninayoijua mimi ya Uengereza basi sikumbuki mwaka jana kuwa Hendo alicheza kiungo Mkabaji.
Yaani ndugu kumchomeka Hendo hapo wakati takwimu wala hazipo kivile ni kituko... Wenyewe utasikia kuhusu Hendo wakiongelea alivyo......
..he is such a leader bla bla..

the authority he commands bla bla..

he is such a respected figure in the dressing room bla bla..

He make the MF click bla bla...

Yaani husikii wakizungumzia Hendo na output zake kama

tackles won,

assist,

points won,

aerial blocks,

foul won,

intercepted passes..

Foul won..

Take ons

Pass completed

Shot on goal

Completed dribbles

Important goals... etc

Kumtetea huyu bwana inabidi kwa kweli uwe mbishi haswa wa statistics...

Huyu yupo kwenye hio Sky EPL team of the season ya hao ma pundits wawili sababu ya Uingereza wake...

YNWA
 
H

Ili la kutojituma kocha ndo anasababisha kesha kariir tim yake hataki iguswe wachezaji wana uhakika wa namba pesha ya kujituma inapungua.
Ujio wa Jota tumeona kocha alivo hangaika kumlinda Boby.
Front 3 yake isiguswe hata siku ikiwa mbaya kwa mchezaji anakomaa nae tu ndo tunapo kwamia hapo.
That was the downfall of the great Kop Shankly.... He believed his aging squad could still deliver even when they were early signs of complacency...

Klopp is surrounded by a very supportive back room staff who does lots of job behind the scenes and he is very appreciative for what they does.. But matters of team selection and all he has the final say..

Proper analysis has to be done for what's has transpired in 1st round of EPL this season results wise..

Its a bit awkward we didn't expect to be even leading the EPL after VVD injury many thought we are finished we aint be able to compete at the TOP again..

Am sure here nobody had the belief we will sail through safely having seen big injuries to our defence in VVD, Gomez and Matip...

Now its really really not okay we are not having a crisis at the Back rather than a crisis at the front line where we have our A Team boys in Salah, Bobby and Mane.. Something is not right there.

Instead of us conceding goals because of our injuries we rea really cool at the back but vert predictable in the front... So many stupid draws....

Southampton not a good place to play in the current status we have but then sometimes this kind of games are needed to bring us to speed with finding the net again...

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Yaani ndugu kumchomeka Hendo hapo wakati takwimu wala hazipo kivile ni kituko... Wenyewe utasikia kuhusu Hendo wakiongelea alivyo......
..he is such a leader bla bla..

the authority he commands bla bla..

he is such a respected figure in the dressing room bla bla..

He make the MF click bla bla...

Yaani husikii wakizungumzia Hendo na output zake kama

tackles won,

assist,

points won,

aerial blocks,

foul won,

intercepted passes..

Foul won..

Take ons

Pass completed

Shot on goal

Completed dribbles

Important goals... etc

Kumtetea huyu bwana inabidi kwa kweli uwe mbishi haswa wa statistics...

Huyu yupo kwenye hio Sky EPL team of the season ya hao ma pundits wawili sababu ya Uingereza wake...

YNWA

Kwenye mpira hatutaki performance ya Leader bali tunataka out put ionekane kwenye pitch.
Fabinho sio Leader bali anachokifanya ni show-show.
 
Sawa..nitarejea kuuliza maswali kama haya huko mbeleni mpaka siku mtakayokubali na bingwa ni sisi.

You're welcome! Hata mimi natarajia kuyaona haya maswali ya Ubingwa mpaka mwisho wa Msimu.

But remember one thing! Timu hizi kubwa hata uzione zimeanguka kiasi gani huwa kuna msimu zinakurupuka na kujifanya Title Contender than msimu ukimaliza nazo zinapotea.

Hata sisi Liverpool tulikurupuka misimu huo:-

2000/2001
2008/2009
2013/2014
 
Kwenye mpira hatutaki performance ya Leader bali tunataka out out ionekane kwenye pitch.
Fabinho sio Leader bali anachokifanya ni show-show.
Yaani Waingereza kusifia vyao hawajambo.. Ile nchi ina PR moja matata sana kwenye profiling image ya wachezaji wao.. Watapambwa mpaka basi ila mradi tuwe convinced eti bila Hendo pengine ushindi wa hizi trophies ungekua hafifu.. Bure kabisa...

Win percentage hata akiwa hayupo mbona ipo juu pia...

Fabby the baldest huyu ni cool ruler aka Mr Utility hana maneno mengi.. Mkataba mnono unamhusu...

YNWA
 
Huyu jamaa mpaka leo mimi bado sijamuelewa! Heri tuendelee na hawa tulionao.
Binafsi ingekua vipi tumnase Saint Maximin kutoka Newcastle ni mchezeshaji na hold up play kuwaleta wengine kweny mchezo, itampa Klopp new dimension of a real namba 10 ili kua na mifumo tofauti...

Grealish the better one but naona Manchester City hovering around..

Traore finishing is the problem nadhani msimu huu hana hata goli moja EPL huyu..

I would take whats we have now than whats we dont have..

YNWA
 
Screenshot_20210102_113750.jpg


Sven Botman naona kama kweli Lile wanakumbali kumtoa kwa usd 20m basi next week anatua Anfield huyu...

Ni beki products ya Ajax academy.. Lile hana hata msimu lakini hali yao tete kipesa ndio maana wanaona wafanye biashara..


Ni mdachi mwenzi Gini na VVD...

Ubora wake ni humpiti kirahisi one on one, ni baller, aerial prowess nk

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom