Mkuu umesema sahihi kabisa ila kuna jambo moja unalisahau.. Hao MF wetu wasipo dictate mchezo unadhani hao LB na RB watapata wapi huo uhuru wa kupeleka mashambulizi...
Shinda kuu nayoiona ni kama vile tuna hati miliki na 4 3 3 week in week out.. Matatizo yanaanzia hapo ndugu maana timu pinzani wanajiadaa namna ya kuizima 4 3 3 na hakika wamefanikiwa..
Chamberlain amepona, Thiago amepona, Shaqir amepona na Takumi mzima meaning Klopp hawezi sema hana asset za kubadili mfumo may 4 4 2...
When 4 3 3 is proper utilised man utapenda maana hua ni mchaka mchaka na ushindi juu ila ikizimwa kama jana lol utaichukia mno....
Manchester City wao ni 4 3 3 any day of the week na wanafanikiwa kwa vile wachezaji wa kwenda na flow wanao japo nao wakikutana na kupaki treni wanakwama tazama mechi yake na WBA alitoka sare...
Ni wakati Klopp aje na mfumo mwingine huu wa sasa timu pinzani wameshatujulia..
Kingine jana Firmino na Salah walikosa clear cut chances at point blank... Kwa kweli Messi na Ronaldo walipwe hizo 💵 au £500,000+ week maana wana consistency kufunga.. Hawa wa kwetu dry spell sasa inawakata wote kwa pamoja...
Get well Jota...
YNWA