Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,533
- 32,757
Tunafeli sana sababu ya kukalili watu wa kucheza viungo kila game,holding middle fields zetu zainasababisha akina mane wachoke kuna kufuata mipira.viungo wetu hawana ubunifu same applies kwa forwards team sasa zimishatujulia ukisheza na Liverpool ni kupaki bus hutoboi.
Ukiangalia sisi na arsenal iliyonafasi ya 13 utofauti wa points ni 13 kwa game zilizobaki ni points chache sana maana yake hats hii top 4 tunaweza kuikosa mwaka huu klopp akiendekeza hiki kiburi chake cha kubadili wachezaji kutokana na aina ya mchezo.
Ukiangalia sisi na arsenal iliyonafasi ya 13 utofauti wa points ni 13 kwa game zilizobaki ni points chache sana maana yake hats hii top 4 tunaweza kuikosa mwaka huu klopp akiendekeza hiki kiburi chake cha kubadili wachezaji kutokana na aina ya mchezo.

