MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
I'm not against na suala la Salah kuuzwa/kuondoka, at the end of the day kila mtu anatakiwa aangalie maslahi yake binafsi kwanza.Uzuri business model.ya LFC ni zaidi ya manager
Only one will be allowed to leave in one window, and replacements zinakua zimetengenezwa...
Commercially, you'd make more money with Salah so he is more likely to start leaving
Lakini, kuondoka kwa Salah kunafakiwa kulete positive impact kwa Club, sasa kama tutatumia hela ya Salah kununua wachezaji zaidi ya watatu, it means replacement yake haitakuwa bora kama yeye, and huo ndiyo wasiwasi wangu, because ndiyo utakuwa mwanzo wa kuanza ku-struggle, na wasiwasi wangu mkubwa zaidi ni kuwa tunaandaa team ya aina gani kwaajili ya STEVIE G? kama akikuta team yenye front 3 ya Sancho-Jota- Elliot, will he be capable of firing us to the top?
And, if watu wanafikiria kuwa Jota ni backup player wapo wrong sana, he's part of adjustment plan, kanunuliwa kwaajili ya kuwa moulded kwenye front 3 slowly, he's a natural LW (kama Mane), so in the near future unaweza kuwa ni Mane's initial replacement.
kuna article nyingi naziona kuwa, we will be fine with front 3 ya Jota-Sancho-Elliot in few years time, hii ni disaster, personally i think Jota will be a big succes at the club, but he will need a big star alongside him upfront, not Sancho.
BUT, who knows man, i'm just a fan.