Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Manchester United
They are aiming to dethrone us this time and they means business...

Rekodi zipo hivi msimu huu wamecheza jumla ya mechi 21 mashindano yote.. ..
Wameshinda mechi 13

Wamepigwa mechi 6

Wametoa sare mechi 2.

Wamefunga magoli 49
Wamefungwo magoli 31.

Well wana kibarua how to sustain this new momentum .. The following games will be damn important kwao to keep the pace at the top kama ilivyo..

They have the following really important games..
Vs Leicester on 26/12/20 away
Vs Wolves 29/12/20 home
Vs Aston Villa 1/01/21 home
Vs Liverpool 17/01/21 away
Vs Fulham 20/01/21 away

Thier form this EPL season ...
Hawa jamaa wamekua ni kiwango bora ugenini kulilo nyumbani, wamecheza mechi 13 EPl wameshinda mechi 2 nyumbani, wameshinda mechi 6 ugenini, wametoa sare mechi 2 na wamefungwo mechi 3. Kwa maana hio wameshinda pointi 18 ugenini na pointi 8 wameshinda nyumbani.

Katika mechi 6 walizocheza EPL hivi karibuni wameshinda mechi 5 na kutoa sare mechi 1 na kujikusanyia pointi 16 ambayo ni rekodi bora EPL kwa mechi 6 zilizopita..

Wafungaji bora kwao EPL

Bruno magoli 9

Rashford magoli 5

Cavani magoli 3

Liverpool..

Tumecheza mechi 22 mashindano yote msimu huu.
Tumeshinda mechi 14

Tumetoa sare mechi mechi 6

Tumepoteza mechi 2.

Tumefunga magoli 53.

Tumefungwo magoli 24.

Gemu 6 zijazo EPL ni kama ifuatavyo kwetu..

Vs Westbrom 27/12/20 home
Vs Newcastle 30/12/20 away
Vs Southampton 4/01/21 away
Vs Manchester United 17/1/21 home
Vs Burnley 21/01/21 home

Tumecheza mechi 14 EPL..
Tumeshinda 7 nyumbani, tumeshinda 2 ugenini, tumetoa sare mechi 4 .. Temepoteza mechi 1 ugenini.

Katika mechi 6 zilizopita EPL tumeshinda mechi 4 na kutoa sare mechi 2 na kujikusanyia pointi 14...

Wafungaji bora kwetu EPL ni..

Salah magoli 13

Jota magoli 5

Bobby magoli 5

Mane magoli 5..

Summary..

Considering thier away form is superb gemu yetu na hawa jamaa itakua full cracker kwa vile ugenini wana rekodi bora kabisa zaidi yetu lakini na sisi tunarekodi bora kabisa nyumbani kuliko wao...

Pazuri benchi letu sasa linaelekea kunoga angalau majeruhi wanazidi kupona ina maana timu inazidi kuimarika..

Bring the R Devils we are ready...

YNWA
umesahau factor muhimu, hawajapata majeruhi serious msimu huu........


,,,,,,,subiri this festival season wapate majeruhi hata 2 tu za bruno na rash tuone
 
SALAH AND THE NOTION OF HIM BEING UNHAPPY AT THE CLUB.

IS IT TRUE? please follow my article below.

Its safe to say that, we as LFC fans are enjoying the good years, hii pleasure huwa haiji mara kwa mara, especially kwa Club yetu, huwa tunapitia the good years kwa phases, ni kama tradition/mizizi iliyopo Anfield, personally, i've enjoyed 3 good phases, GH (R.I.P) phase, Benitez phase & now Klopp's phase, naweza sema kuwa nili-enjoy zaidi phase ya Benitez, because my most favourite player Stevie G was at the top of the World, it was a very good phase.

BUT, there's no doubt, Klopp ametupeleka kwenye new phase, siyo tu uwanjani, bali hata nje ya uwanja, kwenye masuala ya financial & ongezeko la fanbase world wide , hii ni most important phase in Club's history, ni phase ambayo ina top gunz wengi sana, so kwa LFC ku-raise on top kwasasa, will go down in HISTORY, it will be one of the memorable phase in our Club's history.

Again, hii phase imeshudia Club ikisajili na kukuza World Class players, mmojawapo akiwa ni MOHAMED SALAH, african born & raised, he came at the Club bila expectation kubwa kutoka kwa fans, he wasnt a star back then, so personally i was just hoping atafanya vizuri, BUT, he came in and took his career & Club at large to the whole new level, breaking records after records, then just like that, he BECAME a superstar, mpaka sasa SALAH ndiyo LFC's face world wide, he's a global superstar, LFC most marketable footballer, he won LFC a lot of TROPHIES (we cant deny it), he won LFC a lot of financial deals, especially t-shirt deals/sales etc, ame-play part KUBWA sana kwenye MAFANIKIO ya LFC ya SASA.

BUT, is he treated like a SUPER-STAR at LFC? lets be honest, kwa alichokifanya Salah (even Mane but topic yake ni siku nyingine) at LFC, kinahitaji HESHIMA kubwa sana, but personally sidhani kama anaipata hii heshima, na luckly ukiangalia my old posts utaona ni jinsi gani nimekuwa nikiongea kuhusu hili, when Salah came in at LFC na kuvunja records kibao, msimu uliofatia alitaka kuendeleza hili suala (hii ipo kwa kila player), but alianza kuwa targeted taratibu na medias za UK, kulikuwa na bad PR nyingi sana kuhusu Salah, kwa mtu ambaye hajapata nafasi (siyo bahati, because Tanzania is the most blessed country on earth) ya kuishi kwenye hizi Nchi za wenzetu, unaweza ukadharau sana suala la racism na favourtism, especially kwenye socio-culture issues, kwenye soccer la UK kumekuwa na ishu kubwa sana ya profiling, especially linapokuja suala la foreign players, Salah ni moja kati ya wachezaji ambao wanachukiwa sana na medias za UK, its like they dont want him kuendelea kuvunja hizi records, meanwhile medias huwa zinasherekea even small details za Harry Kane (he's a very good player, we cant deny it), but ingekuwaje kama Salah angekuwa ni Citizen wa England? treatment ingekuwa the same?

Now, Salah was promised by Klopp to captain game yetu dhidi ya ile team ya denmark kwa CL, but akabadilishwa in the last minute na kupewa Trent, kwasababu Club ilifikiria zaidi kuhusu Headlines za magazeti kuliko uhalisia, Club iliwaza kuhusu headlines za magazeti/social medias kuwa Scouse kid ana-captain team kwa mara ya kwanza akiwa na miaka 21, this was a very stupid idea, Salah ameifanyia hii club mambo mengi sana kuliko Trent, you can easily replace Trent, but how can you replace Salah's goals-input?, alikuwa kashajiandaa ku-captain team, then unamuondoa dakika za mwisho kwa kuhofia backlash ya UK medias? je kwa hali hii Club inasaidia kumlinda Salah dhidi ya hizi hate orianted-media houses, Club inasaidia kumpa HESHIMA yake anayositahili?

Nataka nitoe mfano kidogo, last season, wheh Fabinho got injured, Henderson aka-claim ile 6 role, na alicheza vizuri sana for 2 months, so sifa zote zikahamia kwake, British medias, LFC based medias and even the Club, ikaaminisha watu kuwa ni MOST IMPORTANT player at the Club na ndiye ame-play part kubwa ya EPL title, mimi na wewe, tunajua wazi kabisa kuwa bila SALAH, MANE, VVD, FABINHO, ALISSON, hii Club isingekuwa CHOCHOTE, but for the last 1 year imekuwa ni HENDERSON, which is not bad because medias zinafanya hivyo kwaajili ya story, kuwa a very average player ame-raise kuwa mchezaji mzuri, siyo mbaya but narrative ya kuwa ni most imporant player ni kweli? na je wenzangu wa LFC ambao mtaona kama namchukia Henderson, hiki anachokifanya Fabinho ku-cover nafasi ya Best CB in the world right now VVD bila shida wala jasho lolote lile (imekuwa rahisi sana kwake) unaona kinaongelewa wapi? Fabinho angekuwa ni UK citizen, hadithi ingekuwa tofauti sana, but ni m-brazil so haina haja ya kumpa headlines kwenye papers, hii ni profiling ambayo ipo pia kwa kina Mane, Firmino, Gini & especially Keita.

Jana, official site ya CLUB, imetumia usiku mzima kumuondoa votes Henderson kwaajili ya tuzo za BBC, which was so embarrassing, na hivi vitu huwezi ona Club ikifanya kwa kina Salah, na hatujui mengi sana yanayoendelea nyuma ya pazia, but mpaka kufikia hatua kwa Salah kuonekana kuchukizwa na suala la kuondolewa u-captain dakika za mwisho, anaona kabisa kuwa anaonewa, na yupo katika hatua za kufikia kikomo (God forbid).

Man, i always laugh juu ya new LFC fans, mtu anaweza akakwambia Salah aondoke tu, you cant replace Salah, you cant replace Mane, you cant replace Fabinho, you cant replace VVD, hapo juu nilianza na suala la Phases, maana yangu ni kuwa, kwasasa LFC fans tunahitaji sana kuwa na phase ndefu sana ya good years, good years zetu nyingi sana ziliharibika kwa kuuza key & star players, na kama tunataka kukaa on top kaa muda mwingi sana, hatutakiwi kuuza our star players, huwezi kumuuza Salah akiwa on top kwasasa, huwezi kuuza Mane akiwa on top kwasasa, tumia mpaka legs zife ndio wauze, fanya rebuild ya kikosi hawa wakiwepo, tengeneza a very young team kupitia hawa, kwasasa tupo juu sana kimpira, na kuuza wachezaji ma-star kipindi kama hiki ni kichekesho kikubwa sana.

Man, its true, Salah is unhappy at LFC kwasasa, suala la kuita AS (Spanish based NP) kwaajili ya interview ambayo lengo kubwa ilikuwa ni dig at Klopp na Club kiujumla, hii haikuwa stunt ya new contract, alikuwa anataka ku-make statement, i know the Club will try to pen him down, but hii stunt haikuwa kwaajili ya mkataba, aliona amekuwa disrespected sana, Club inaangalia zaidi its image kuliko kulinda haki za wachezaji, na huwa nashangaa sana LFC fans wanapo-side na hizi stories za kwenye medias.

Salah, ni LEGEND at LFC, ameifanyia makubwa sana hii CLUB yetu kwa kipindi alichokuwepo, anasitahili SIFA na HESHIMA kubwa sana, msimu huu, yeye, Fabinho, Robertson, Jota, Gini & Matip ndiyo wanafanya tuwe top kwenye LEAGUE, yupo kwenye GOOD FORM, na anaelekea ku-deliver tena PL title, so i urgue my fellow fans to respect this WC player, he's one of our own, he's muslim & African, thats why he's profiled sana, he's pissing their LEAGUE and they hate him for that, juzi kavunja record ya STEVIE G kwenye CL, kama ningekuwa English citizen/bitter scouser ningechukia kuona a muslim & african born & raised ana-top kila record ya the most decorated club in the UNITED KINGDOM.

And we have short memories, wote mnakumbuka jinsi medias zilivyokuwa zinamuhusisha na move ya Madrid baada ya kuvunja records nyingi msimu wa kwanza, mpaka Agent wake akaamua kuingilia kati, they wanted him to leave, because wanataka Harry Kane au Vardy ndiyo wavunje hizi records, let me ask you, tangu msimu wake wa kwanza mpaka sasa, Salah ameonekana kwenye TOTY mara ngapi? au kwenye tuzo zingine mara ngapi? Salah stats speaks for themselves, he's a World BEATER.

Rebuiding process ishaanza at LFC, Jota ndiye atakayeongoza hii process, but at 23, Jota bado anapata tabu sana ya consistency, ni aina ya players ambao wanahitaji sana muda wa kujifunza kuhusu consistency, watu wengi sana hawamjui Jota vizuri, akiwa out of form ni anakuwa zaidi ya HOVYO, his passing game siyo nzuri na ndiyo weakness yake, sasa imagine kuwa out of form na kuwa na weakness ya kupiga measured and moving passes, na kabla ya his injury alikuwa kishaanza kutoka kwenye form, BUT he's coachable.

This is it, if Salah feels like he needs to try something new then i'm not against it at all, amekuwa good servant at the Club na kuvumilia mengi sana, negative articles, profiling etc, BUT above all, ame-play part KUBWA sana kutupa hizi good years, so as an employee kama anaona mazingira aliyopo hayamfanyi kuwa na furaha, then i wont mind yeye kuondoka kabisa, he has played his part, Lakini my HEART inaombea sana aendelee kubaki na kuendeleza hii phase yetu, we need him kwenye rebuilding process, kuna watu wanafikiria FSG watanunua wachezaji aina ya Mbappe, this wont happen (though anything is possible kwenye footie), but looking at FSG model they will look at World class prospects zaidi kuliko established young stars, so kwa mtindo huu bado tutahitaji kina Salah, ili waendelee kuishikilia team huku tukiwa tuna-introduce new players (kama tunavyofanya kwa Jones).

Yes he's unhappy at the moment but we need HIM to stay, the CLUB should take responsibility for this.
mkuu nafurahi sana mtu anapoandika un-popular opinion kama hii hasa wakati huu ambao dunia imekua brainwashed na propaganda za hovyo hovyo mpk kwenye soka!


mimi huwa najiuliza sana hata hapa jukwaani, vile tunavyomvaa Keita kwa majeruhi na kumkatia tamaa wakati hapo hapo kuna mtu kama OX ambae ni prone kuliko hata Keita lakn he is getting a free pass!........ bad enough OX sio talented wala hana cha ajabu kumzidi Keita!


nimekuelewa sana kwenye factor ya him being a Muslim kumnyima baadhi ya recognition ambazo anastahili,...... a player of color &Muslim.....woooh
 
Uwekezaji umefanyika, acha muendelee kupata mavuno. Huwa nadhani kuwa kwenye enzi ya sasa ya soka, project ya Liverpool ndiyo mfano bora zaidi wa kuigwa/kijifunzia kwa timu zinazotafuta kurujea kwenye kilele cha mafanikio kama vile Arsenal (tangu 2004), United, Barcelona, Real, na zingine. Spurs siwataji kwani najua project yao iko unique. Inabezwa kwa sasa ila huko mbele itaeleweka.

Ni swala la muda tu mkuu.anaejua mpira hawezi kubeza hata kidogo mkuu.

Kubadilisha makocha mara kwa mara inachangia kuchelewesha mipango.liverpool walimpa klopp mkataba wa miaka 6,watu walishangaa na kulaumu.
 
Lazima ufurahi, hasa ukikumbuka namna alivyotumia kikosi cha pili kuwapoka ubingwa na kumpa City. Spurs siyo quality ya Liverpool kwa sasa. Hata hiyo pressure ya ubingwa tuliyoweka mpaka kabla ya game tatu zilizopita ni Mourinho master class pekee. Labda uniambie ni kocha gani angepigania ubingwa na kikosi yenye hawa akina Dele Alli, Harry Winks, Mousa Sissoko, na Lucas Moura waliochuja.

Kuhusu Son au Kane kuumia hakuna shabiki wa Spurs anataka kusikia kitu kama hicho maana kila anayeijua Spurs anajua bado imejengwa kuwazunguka hao.
umeanza lini kushabikia Spurs? mbona Poch alifanya vizuri na kikosi hicho hicho?


tena Mou ndio kasajili zaidi,
 
umeanza lini kushabikia Spurs? mbona Poch alifanya vizuri na kikosi hicho hicho?


tena Mou ndio kasajili zaidi,
Kikosi hicho hicho maana yake nini? Huwa napendelea mijadala hai kuliko mfu. Ukishaanza kuniambia Dele Alli wa mwaka juzi ndiye huyu wa mwaka huu naanza kupata shaka kama tuna mjadala wowote wa maana. Sissoko, Moura, Dier, Lamela wa mwaka juzi unawafananisha na hawa?

Nieleweshe vema maana ya Pochetino alifanya vizuri na kikosi hiki hiki ikiwa kilikuwa pointi 3 karibu na relegation zone, na pointi 12 kutoka top four wakati Jose anakichukua. Leo mwaka mmoja mbele Spurs iko nafasi ya ngapi? Ni pointi ngapi nyuma ya kinara wa ligi?

Ngoja nikupe dondoo kidogo. Ni hivi, Spurs ilianza kuzeeka baada ya era ya akina Wanyama, Dier, Sonny, Dele Alli kuishiwa mafuta. Ilikuwa dhahili kuwa timu yapaswa kuingia kwenye project mpya (overhaul). Huo huwa ni wasaa wa timu kuangalia pia ikiwa itaendelea na kocha aliyepo au inahitaji kocha mwingine.

Ni kama Liverpool na City walivyofanya miaka 2015 na 2016 mtangamano. City walijua zama ya akina Toure inafika mwisho. Kocha aliyekuwepo aliwapaa epl 2 lakini wakaona project mpya ingemhitaji Pep.
 
Mbona Salah wanamtreat freshi tuu, Ile nyimbo ya Mo Salah! mbona Henderson trent hawaimbiwi kama ni uingereza? mbona hata kwenye mshahara hakuna muingereza liverpool anayemzidi Mo salah, mbona hata swala la penati ni kama tuu kaachiwa yeye kama star wa timu. Mbona kabeba tuzo binafsi nyingi tuu kuwashinda hao waingereza, fan player of the year si kawa yeye juzii, anataka nini zaidi?
Read my article again, vizuri.

and, learn more about racial profiling.
 
mkuu nafurahi sana mtu anapoandika un-popular opinion kama hii hasa wakati huu ambao dunia imekua brainwashed na propaganda za hovyo hovyo mpk kwenye soka!


mimi huwa najiuliza sana hata hapa jukwaani, vile tunavyomvaa Keita kwa majeruhi na kumkatia tamaa wakati hapo hapo kuna mtu kama OX ambae ni prone kuliko hata Keita lakn he is getting a free pass!........ bad enough OX sio talented wala hana cha ajabu kumzidi Keita!


nimekuelewa sana kwenye factor ya him being a Muslim kumnyima baadhi ya recognition ambazo anastahili,...... a player of color &Muslim.....woooh
Ni kwasababu watu wanabeba kila kitu ambacho wanakisoma kwenye hizi biased medias.

Mfano mdogo tu, Lallana alikuwa na tatizo kubwa sana la injuries, but treatment yake ilikuwa tofauti kabisa na anayopata Keita now, Keita amekuwa mpaka racial abused na LFC based jornos (especially Ian Doyle)..

The club did a media-tribute kwa Lallana, but hawakufanya chochote kwa Sturridge wakati yeye ndiyo alikuwa na mchango mkubwa sana na hii CLUB.

Lallana ameifanyia nini hii CLUB?
 
mkuu nafurahi sana mtu anapoandika un-popular opinion kama hii hasa wakati huu ambao dunia imekua brainwashed na propaganda za hovyo hovyo mpk kwenye soka!


mimi huwa najiuliza sana hata hapa jukwaani, vile tunavyomvaa Keita kwa majeruhi na kumkatia tamaa wakati hapo hapo kuna mtu kama OX ambae ni prone kuliko hata Keita lakn he is getting a free pass!........ bad enough OX sio talented wala hana cha ajabu kumzidi Keita!


nimekuelewa sana kwenye factor ya him being a Muslim kumnyima baadhi ya recognition ambazo anastahili,...... a player of color &Muslim.....woooh
Thanks Kwa kuelewa context

Kuna maupumbavu mengi Sana yanaendelea kwenye English trash na Sisi tunameza Tu

Upuuzi mtupu huko England, no wonder they don't win big with their national team
 
So, if Gini wont sign his new Contract by March/April, hii itaamanisha ataondoka for free in the summer.

Milner will surely leave in the summer (if not, atabaki na kuwa player-coach)..

Salah is 50/50..

Adrian will 100% leave..

Shaqiri will 100% leave

So, kama tutazingatia hizi consideration, ni kuwa 6-7 first squad players will leave, and they will need to be replaced.

Pia, nadhani kama zikija good offer kwa Keita & Ox, we will sell them right away.

Next summer, will be very important kwa muelekeo wa Club.
 
So, if Gini wont sign his new Contract by March/April, hii itaamanisha ataondoka for free in the summer.

Milner will surely leave in the summer (if not, atabaki na kuwa player-coach)..

Salah is 50/50..

Adrian will 100% leave..

Shaqiri will 100% leave

So, kama tutazingatia hizi consideration, ni kuwa 6-7 first squad players will leave, and they will need to be replaced.

Pia, nadhani kama zikija good offer kwa Keita & Ox, we will sell them right away.

Next summer, will be very important kwa muelekeo wa Club.

Very tricky, and with covid-19, pesa hakuna

We must do some deals in January and get some key deals in Jan, or at least look for a few free agents

Remember naby, thaigo are injury prone, Curtis is still.ypung, Hendo is old and faby can also be injury prone

Goma gumu
 
So, if Gini wont sign his new Contract by March/April, hii itaamanisha ataondoka for free in the summer.

Milner will surely leave in the summer (if not, atabaki na kuwa player-coach)..

Salah is 50/50..

Adrian will 100% leave..

Shaqiri will 100% leave

So, kama tutazingatia hizi consideration, ni kuwa 6-7 first squad players will leave, and they will need to be replaced.

Pia, nadhani kama zikija good offer kwa Keita & Ox, we will sell them right away.

Next summer, will be very important kwa muelekeo wa Club.

Kuna namna namwona Sadio Mane akituacha, jamaa haongei lakini kwa mwonekano tu anaonekana hana furaha kabisa.

Kati ya watu natamani kuwaona wakiwa mahali wanakotakiwa kupewa thamani ya wanacho-offer ni Sadio, jamaa anafanya zaidi ya tunachomwomba kufanya lakini bado sioni kama anapata recognition in same way.

Nikilinganisha yeye na Salah, naona kuna namna Salah anaweza kuji-express kama kitu hajakipenda na hiyo walau inakuwa inampa favor kiasi, sikuwahi kujua kuhusu kile ulichoandika kwamba hawi favored na timu na medias ambazo ni team related.

Hawa jamaa ndiyo injini kubwa sana ya timu, lakini tunavyowatendea kuna muda hadi huwa nawaza ujinga tu kwamba Sadio Mane aondoke akainjoi maisha kwingine.
 
Very tricky, and with covid-19, pesa hakuna

We must do some deals in January and get some key deals in Jan, or at least look for a few free agents

Remember naby, thaigo are injury prone, Curtis is still.ypung, Hendo is old and faby can also be injury prone

Goma gumu
We will buy a CB in january, and i think itakuwa our only signing.

BUT, kwa departures za Summer, tutahitaji big budget ili kuweza ku-rebuild au kuendeleza tulipoishia, so kama Madrid/PSG wakija na good offers kwa kina Salah/Mane (especially Salah) we will Sell, na kutumia hiyo hela ku-cover some areas (2 attackers, MF and an extra full back)

Sasa kwa upande wa attack, tukikosea katika suala nzima la replacement, we will be doomed forever.
 
Kuna namna namwona Sadio Mane akituacha, jamaa haongei lakini kwa mwonekano tu anaonekana hana furaha kabisa.

Kati ya watu natamani kuwaona wakiwa mahali wanakotakiwa kupewa thamani ya wanacho-offer ni Sadio, jamaa anafanya zaidi ya tunachomwomba kufanya lakini bado sioni kama anapata recognition in same way.

Nikilinganisha yeye na Salah, naona kuna namna Salah anaweza kuji-express kama kitu hajakipenda na hiyo walau inakuwa inampa favor kiasi, sikuwahi kujua kuhusu kile ulichoandika kwamba hawi favored na timu na medias ambazo ni team related.

Hawa jamaa ndiyo injini kubwa sana ya timu, lakini tunavyowatendea kuna muda hadi huwa nawaza ujinga tu kwamba Sadio Mane aondoke akainjoi maisha kwingine.
Man, ndiyo maana kwenye article yangu, nikasema MANE ni topic ya siku nyingine.

People actually dont know, kuwa kipindi kile ambacho Messi alimpigia kura za FIFA best men award na BDO, Mane alikuwa mad dhidi ya Club kwa kushindwa kum-market vizuri through Club's media PR, he thought the Club didnt do enough for him and he was right.

Suala la Mane ni la siku nyingine, BUT these dudes are not appriciated well enough, na kama watu wanafikiri kina Sancho watakuja na kuweza ku-replace output za hawa monsters, then they're so wrong.
 
Man, ndiyo maana kwenye article yangu, nikasema MANE ni topic ya siku nyingine.

People actually dont know, kuwa kipindi kile ambacho Messi alimpigia kura za FIFA best men award na BDO, Mane alikuwa mad dhidi ya Club kwa kushindwa kum-market vizuri through Club's media PR, he thought the Club didnt do enough for him and he was right.

Suala la Mane ni la siku nyingine, BUT these dudes are not appriciated well enough, na kama watu wanafikiri kina Sancho watakuja na kuweza ku-replace output za hawa monsters, then they're so wrong.

Nimekupata mkuu, I hope that topic comes soon.

Tunaisubiri.
 
Man, ndiyo maana kwenye article yangu, nikasema MANE ni topic ya siku nyingine.

People actually dont know, kuwa kipindi kile ambacho Messi alimpigia kura za FIFA best men award na BDO, Mane alikuwa mad dhidi ya Club kwa kushindwa kum-market vizuri through Club's media PR, he thought the Club didnt do enough for him and he was right.

Suala la Mane ni la siku nyingine, BUT these dudes are not appriciated well enough, na kama watu wanafikiri kina Sancho watakuja na kuweza ku-replace output za hawa monsters, then they're so wrong.
Sancho is another product of British media balloons
 
Klopp collapsed at Dortmund, siyo kwasababu ya injuries, but ni kwasababu ya kina Zorc kuuza his star-players.


Sir Alex Ferguson, managed to run the PL kwa ku-tie down his star-players na kuongeza new faces every summer, na ndiyo maana hata ilipofikia kipindi cha hawa star players ku-move on hizi new faces zilikuwa tayari zisha-adjust vizuri.

Pep ana-struggle now because alijisahau kwenye adjustment process ya his Squad, we have been on TOP of the food chain for 2 years na bado hata hatujaanza rasmi adjustment plans and mtu anakwambia uza tu Salah.

Salah/Mane are not bigger than the CLUB, but they're the HEART of the Club right now, if we want a longer phase at the top, we need to keep them for at-least 2-3 years, huku tukifanya adjustment plans, but kama tunataka shortcuts, then we should sign world class beaters to replace them right away, which is tough kutokana na policy ya FSG na our financial structure.
 
Klopp collapsed at Dortmund, siyo kwasababu ya injuries, but ni kwasababu ya kina Zorc kuuza his star-players.


Sir Alex Ferguson, managed to run the PL kwa ku-tie down his star-players na kuongeza new faces every faces, na ndiyo maana hata ilipofikia kipindi cha hawa star players ku-move on hizi new faces zilikuwa tayari zisha-adjust vizuri.

Pep ana-struggle now because alijisahau kwenye adjustment process ya his Squad, we have been on TOP of the food chain for 2 years na bado hata hatujaanza rasmi adjustment plans and mtu anakwambia uza tu Salah.

Salah/Mane are not bigger than the CLUB, but they're the HEART of the Club right now, if we want a longer phase at the top, we need to keep them for at-least 2-3 years, huku tukifanya adjustment plans, but kama tunataka shortcuts, then we should sign world class beaters to replace them right away, which is tough kutokana na policy ya FSG na our financial structure.
Uzuri business model.ya LFC ni zaidi ya manager

Only one will be allowed to leave in one window, and replacements zinakua zimetengenezwa...

Commercially, you'd make more money with Salah so he is more likely to start leaving
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom