Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Mimi nnaDavid James: “I’ve said this before and it’s not that Mo Salah isn’t a great player, it’s just that Liverpool seem to look better without him on the field because there is more fluidity.”
Je Kuna ukweli
Mtazamo huo pia naniliwahi sema nikatolea mfano mechi ya Evaton ikapingwa sana humuDavid James: “I’ve said this before and it’s not that Mo Salah isn’t a great player, it’s just that Liverpool seem to look better without him on the field because there is more fluidity.”
Je Kuna ukweli ?
Alie kosekana ni Salah akacheza Shaqil kumbuka.Aache ujinga kama Shaffih Dauda! MO Salah is a great Player.
Hiyo ni kawaida kwa washabiki wa Soccer wote.
Tulisema hapahapa kuwa Akiumia VVD tumekwisha na hatutoweza kuchomoka! Ameumia Je hatushindi? Kwahiyo according to whom (David James) VVD isn't a great Player?
Tulisema hapa kuwa akiondoka Coutinho tumekwisha! lakini aliondoka tukabeba Makombe Je Coutinho wasn't a great Player?
Ukweli ni kwamba Klopp katengeneza kitu ambacho Makocha wote wa sasa hawana cha kutokumtegemea mchezaji fulani atupe matokeo! Lakini haimaanishi kuwa Mchezaji huyo siyo great Player.
Tulimkosa Mane tukamuangamiza Barcelona, Je Mane isn't a Great Player?
Kwahiyo kukosekana Salah then tunashinda that doesn't mean that Salah isn't a great Player! But Klopp created mysterious team work that doesn't depends on anyone to get the results we want.
Upo sawa kabisa kusajili hovyo ndo kuna haribu tim hem ona Mancity usajili wakeKwenye Beki tuna Option nyingi sana hata katika Janga hili la injury hatujaonesha Kuyumba.
VVD
MATIP
GOMEZ
NAT PHILLIPS
RHYS WILLIAMS
FABINHO (OPTION)
Namba 3 yupo Backup Tsimikas ambaye pia namba 2 anacover! Pia Neco Williams apewe dakika za kucheza ili apate uzoefu.
Ukweli usiofichika JOEL MATIP ni Beki wa kulindwa pale Liverpool na apewe Mkataba mpya kwa any cost.
Nimegundua kwenye Leanding uwanjani MATIP hana tofauti na VVD, pia kwa uwezo yupo vizuri kuliko GOMEZ ambaye kwasasa kuna hatari ya kuzidiwa na hata Nat Phillips.
Hivyo kwa maoni yangu hakuna haja ya kugharamika kwa kununua Beki ya kati unless aondoke MATIP au GOMEZ.
Alie kosekana ni Salah akacheza Shaqil kumbuka.
Naamini Salah hana pengo pale labda Mane
Salah hatoi msaa ukabaji
Na kuna watu hao ukiwa na mtazamo tufauti na wao wanaona ni upupu utazani ni malaikaKuna watu ukiwasikiliza kauli zao zimejaa upupu wakutosha ni bora ku ignore tu.



Sio bado Salah ni mchezaji muhimu sana tu ila kukosekana kwake hakudhoofishi team kama tunavyo mkosa Mane ni pengoSalah bado ni wa muhimu kwenye pamoja na sometimes kuwa selfish
Kwa mtazamo wangu pengo kwa sasa ni mane na Allison basi hao wakikosekana unaona kabisa timu inavyopwayaSio bado Salah ni mchezaji muhimu sana tu ila kukosekana kwake hakudhoofishi team kama tunavyo mkosa Mane ni pengo
Kwa mtazamo wangu pengo kwa sasa ni mane na Allison basi hao wakikosekana unaona kabisa timu inavyopwaya
Huu msimu tutahakikisha EPL inarudi London maana imezunguka zunguka huko kwa wengine sasa ni muda wa kurudi home kutulia.
#CFC
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mkuu hiyo ilikuwa zamani japo bado ni mchezaji mzuri na tunamuhitaji ila kwangu naona Liverpool ya sasa sio ile iliyokuwa inategemea matokeo/ushindi kutoka kwa mchezaji mmoja ambaye ni salahAcheni utani jamani, hii tuiongee tu kama kujifurahisha lakini tusiombe itokee Salah kupata majeruhi ya kuwa nje zaidi ya miezi 2.
Pengo la Salah huwezi kuliziba kwa wachezaji tulionao, labda tufanye usajili.
Mkuu hiyo ilikuwa zamani japo bado ni mchezaji mzuri na tunamuhitaji ila kwangu naona Liverpool ya sasa sio ile iliyokuwa inategemea matokeo/ushindi kutoka kwa mchezaji mmoja ambaye ni salah
Nnavyoona mimi Salah wa sasa huwa anapoteza nafasi nyingi sana za kufunga tofaut na ilivyokuwa kipindi cha nyuma. Nakingine ni swala la ubinafsi kuna mda huwa anajisahau kwenye hili.Kuna kauli kwamba, Salah asipokuwepo timu inacheza vizuri sana.
What does that mean? Kwamba Salah ni mzigo kwenye timu na ndiye anaturudisha nyuma?
Nnavyoona mimi Salah wa sasa huwa anapoteza nafasi nyingi sana za kufunga tofaut na ilivyokuwa kipindi cha nyuma. Nakingine ni swala la ubinafsi kuna mda huwa anajisahau kwenye hili.
Licha ya yote hayo kwangu naona salah sio mzigo maana zikipigwa counter attack jamaa yuko vizuri sana.
Ukisema Salah anapoteza chance nyingi ujue ni kwa sababu anakaa kwenye position nzur mara nyingi na ndo anayecreate chances nyingi kuliko wachezaji wote pale mbele!!!!Nnavyoona mimi Salah wa sasa huwa anapoteza nafasi nyingi sana za kufunga tofaut na ilivyokuwa kipindi cha nyuma. Nakingine ni swala la ubinafsi kuna mda huwa anajisahau kwenye hili.
Licha ya yote hayo kwangu naona salah sio mzigo maana zikipigwa counter attack jamaa yuko vizuri sana.
4-2-3-1 hiyo 1 akae JotaAta wawachezesha wote wanne kwa formation ya 4-2-3-1
Salah in mkuu ...vipi kwenye hizo game 5 Firmino akionyesha makali msimamo wako utakuwaje?Mfano tungeweka polls, ungechagua Salah out au Salah in?
Maana naona umejibu vyote viwili pale juu.
Mfano mimi binafsi msimamo wangu ni Salah in, Firmino out (ila game ya juzi inanifikirisha kidogo, nampa game 5 za EPL).