Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ila kiukweli Keita ile game ya west ham ndo siku alicheza kiwango kuliko siku ingine yoyote.
Ile gemu hakika nilisema kweli hapa tumepata jembe haswa ila duh false hopes anakwenda mbele anarudi nyuma yaani performance chat yake ipo zigzag...

Klopp anafaa kumwachia ameshaku failed project...

Klopp June 2021 ni mwendo wa kuingia sokoni angalau tumpate Camavinga wa Rennes au Housemm wa Lyon..

Keita ana muda mpaka EPL inaisha kumshawishi Klopp endapo anaweza kukaa mzimaaa bila kuumia mara kwa mara na output yake uwanjani iwe super high...

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Jamani mimi ukiniambia nichague Keita na Wijnaldum nachagua Keita

Sababu ,moja: Keita anakukabia Wijnaldum hawezi kukaba sio fani yake kabisa
Mbili: Keita anakuchezeshea timu kitu pia Wijnaldum hawezi

Tatu: Keita na magoli anafunga pia
 
Acha uongo bwana mdogo ameshasahau juzi tu mnamo mwezi April 2018 matokeo chelsea 1-3 spurs Dele Ali akiwapiga viwili ns Erickson Kimoja
Tangu tarehe 10 Feb 1990 Spurs walishinda 2-1 na 1 April 2018 siku ya wajinga alishinda 3-1, kwa maneno mengine Spurs kashinda darajani mara moja tu ndani ya miaka 30 iliyopita
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom