Huku buza tunanwita MTU na nusuDiogo Jota




Sasa rasmi kuanzia leo ninamuingiza JOTA katika FIRST XI yangu ya Liverpool.
Siku Klopp akimueka Benchi Namfokea tusijelaumiana.
Kakosa goal na kanyima mtu assist zilkua nne tunaongea sa hviKuna kitu kwa Mane hakiposawa
Soon utawaona Real Madrid au Barcelona wakileta ofa nono mno kumnasa huyu jamaa...Toka JOTA aliposajiliwa Liverpool nilikuwa sijamueka katika nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza cha Liverpool! Sio kwamba nilikuwa simuamini ila nilikuwa ninamuangalia game after game kuprove uwezo wake hasa suala la Consistency, but tayari ameshaprove uwezo wake.
Now JOTA made fore Liverpool
Hata mechi 10 hajachezaJota unaweza kufikiria tulianza nae misimu 2 au 3 nyuma,kumbe ndio kwanza hata nusu msimu unaisha.
Hakuwaza mpira mbali aliwaza kumbana zaidi mchezaji wetu...Mpaka sasa sijaelewa Evans alikusudia nini pale alipojifunga.
Nabby huyu huwa hatabiriki kabisaTumesharudisha Fabi and Naby.
Hendo and Gomez and Salah are on their way!
Sasa wale waliokua wakipumulia injuries zetu kama walishindwa kutukamatia kipindi hichi basi waanze kuhesabu maumivu.