Ohoo liva mna injury za kutosha ,mara van djik hayupo... Khaa... Watu wanaifananisha liverpool na man u yao sijuiHii inaitwa Liverpooool kata mdomo!!!
Opponents wote vichwa vipo kibra

Ohoo liva mna injury za kutosha ,mara van djik hayupo... Khaa... Watu wanaifananisha liverpool na man u yao sijuiHii inaitwa Liverpooool kata mdomo!!!
Opponents wote vichwa vipo kibra

Kapiga mpira mkubwa sana half hii aisee.Dogo ni kazi kazi...
YNWA
Soon utawaona Real Madrid au Barcelona wakileta ofa nono mno kumnasa huyu jamaa...
Ana miaka 23 tu ki ukweli Pepijn Lijnders hakukosea kumpigania mpaka tukapata saini yake huyu dogo...
Akasaini mkataba wa miaka 5..
Jota the new Kop favourite boy...
YNWA
Mkuu mbona iko wazi kabisa! Alikuwa anaanua kwa kichwa ili mpira uende mbali kabisa lakini ndio ikawa hivyo kama ulivyoona! Niliwahi kujifunga goli la hivyo wakati wa ujana wangu, raia almanusura wanimeze!!Mpaka sasa sijaelewa Evans alikusudia nini pale alipojifunga.
Naona walikuwa wana mu underestimate sana yaaniChakushangaza mpaka leo sipati Jibu kwanini Wolves alikuwa hana namba ya uhakika na mara nyingi alikuwa akianzia Benchi.
Sasa sijui itakuwaje aisee?Soon utawaona Real Madrid au Barcelona wakileta ofa nono mno kumnasa huyu jamaa...
Hahaha Nuno ana vimsimamo fulani hivi sijui anafikiliagi vipi...Chakushangaza mpaka leo sipati Jibu kwanini Wolves alikuwa hana namba ya uhakika na mara nyingi alikuwa akianzia Benchi.
Amesaini mkataba wa miaka 5 hivyo bado tunae sana...Sasa sijui itakuwaje aisee?
Dah inasikitisha sana aisee.Kupata ela ya kumnunua Mbappe naona Keita, Ox, Origi wawe sokoni tu...
Hapa utasikia Keita nje siku 60...
This boy is cursed...
YNWA
Tuweni wakweli leo mpaka Dakika hii ya 51 ninapoandika basi Mane kanyimwa akili ya Mpira.