Mbona sielewi maisha yanavyoenda, wakuu, nyie mnaishi vipi mtaani?

Pain killer

JF-Expert Member
Aug 15, 2017
14,141
21,279
Niko mtaani hapa, sioni ramani kabisa, umri unaenda, mwili unanisumbua unataka kuoa, pesa haionekani, huna hela hapa mjini kila mwanamke anakuona kikalagosi ni virugu na kichwa kuchanganyikiwa, mpaka sasa sina nacho miliki (26 year Old) zaidi ya
-Account tatu za kubet ,betpawa ,1xbet,premiaer bet

-Degree moja, educationa (eco na geo)
-Simu tecno wx3
-Sina pesa
-Sina demu
-Naishi kwa shemeji, (hapa uhakika kula upo)
-Sina hata geto (hiki ndio kinaniumiza akili)
-Nadaiwa Loan board

Natafuta kazi za kufanya kujitoa kwenye hili wimbi linalonizunguka ,naangukia pua, biashara ngumu, kila nikifanya mtaji unapotea miujizically,tabu kweli kweli
 
Miaka 26 hutakiwi kulalamika kabisa, shida kubwa mnataka luxurious life kwa kulinganisha mbona wengine wanaishi.

Brother... Kila mtu ana riziki yake ,wapo ambao riziki zao haziwatoi jasho alafu pesa ndefu na wapo ambao riziki yao mbaka mwili ubadirike rangi na Bado hela ya kula mtihani.hawa tunawaita wagaa gaa na upya.

Omba Mungu akuepushe na kikombe Cha wagaa gaa.
 
Back
Top Bottom