Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Mkuu sidhani kama upo sahihi kuhusu hao wachezaji...Kila mchezaji tunayemsajili lazima Injury imuhusu mbn wengine wapo vzr wakisajiliwa kwingine sisi why? Au hatuoni mbali ama?
Chamberlain akipokuwa arsenal alikuwa hapati namba ila Hana Injury?
Keita! Alikiwasha Sana Bundesliga Leo kukicha injury hata kwenye mazoezi?
Shakiri! HUYU nadhani Kuna mengine yasiyowekwa wazi kuhusu yeye
Klop jaribu kuona mbali
Mane na Salah Acheni ujinga wenu
YNWA ✔️ 💪
Chamberlain muulize DullyJr au Aaron Arsenal watakwambia pale walitupiga maana ni pancha tangu yupo Arsenal...
Shaqir nae hana tofauti na Ox huyu na ndio maana hawa sio serial starters, ni ku supplements quality bench wanapohitajika but too bad muda mwingi wanaumia lol.. Kwa mfano Shaqir tangu 2011 mpaka sasa amekua mgonjwa kwa majeraha tofauti kwa zaidi ya siku 340...hapa Liverpool tu amekua mgonjwa kwa zaidi ya siku 90 amekua kwenye matibabu nyakati tofauti...
Keita amekua mgonjwa kwa zaidi ya siku 190 nyakati tofauti tangu amejiunga nasi.. Na kabla ya kwetu akiwa RB alikua mgonjwa zaidi ya siku 110...hivyo hajaanzia kwetu kuumwo huyu...
Tazama Mane/Salah tangu watue injury trend sio za kutisha...
Funga mwaka lol Thiago huyu EPL ina jambo nae...
Na hapa ukumbuke hatuchezi genggenpressing haha sijui ingekua aje..
YNWA

