Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wanaotuangusha Liverpool are ni mane na salah?? hivi upo serious au typing error?
hiyo Ni k2 serious KBS Kama huamini angalia wanayoyafanya wao kila mmoja anataka afunge yeye (a.ka) binafsi

Wakati huku nyuma Kuna wanaohangaika vibaya wao wanaanza masihara
 
Siku hizi macho yangu yana matege?
Afunge Firminho shida apate Gini?
HOW
. Yani Bobby akifunga naye lazima c ataanza afu ukute game ni ngumu kidogo ili kupata nguvu mpya atatoka Gini na kuingia Jota ndo maana yangu
 
Ninyi pambaneni ila UEFA itatua London.
#CFC
The Pride of London 💙💙💙
Uko serious mkuu?

kwa timu gani mliyonayo hadi ujipe matumaini ya kubeba ndoo msimu huu?

hata hivyo sio mbaya kujipa matumaini....
 
mkuu mara nyingi sisi kama mashabiki tunafanana kwenye ushabiki,siotu hilo hata lile la uwezo wa captain kwamba captain uwezo mdogo anabebwa tu.
likizuka huku ujue dunia nzima mashabiki ndio wanaona hivyo,kama vile kwenye malalamiko swala la usajiri kwamba kwanini team haitaki kusajiri.
hata humu pia huo mjadala ulianza mapema kabla ya huko.
Performance ya Jota imetengeneza Teams kwa washabiki (all over the world).

Ukiingia forums za Liverpool za nje, discussion ni hii hii.
 
mkuu mara nyingi sisi kama mashabiki tunafanana kwenye ushabiki,siotu hilo hata lile la uwezo wa captain kwamba captain uwezo mdogo anabebwa tu.
likizuka huku ujue dunia nzima mashabiki ndio wanaona hivyo,kama vile kwenye malalamiko swala la usajiri kwamba kwanini team haitaki kusajiri.
hata humu pia huo mjadala ulianza mapema kabla ya huko.

Ni kweli aisee, maana kabla ya game aliyoanzishwa Jota, humu tumepiga kelele sana, nikaona BBC nao wameweka polls za aanze au asianze.

Kila unakoenda kwenye forums za Liverpool unakuta same discussion...!

Atlast kocha akakubali yaishe.
 
Henderson ana umuhm wake Sana
tatizo akikaa hapo nyuma ukiesabu pass alizopiga alizorudisha nyuma ndio nyingi kuliko alizopeleka mbele.

liverpool tuna wachezaji wazuri sana kushinda timu zingine,ila tunataka wachezaji wetu wasifanye makosa hata kidogo na wakati makosa ni sehemu ya mchezo.

kuna ile game na flamingo ya klabu world cup, yule kocha wa flamingo baada ya ile mechi akasema henderson ndio kiungo bora duniani. maana kwenye ile mechi alikuwa mwiba sana.
 
tatizo akikaa hapo nyuma ukiesabu pass alizopiga alizorudisha nyuma ndio nyingi kuliko alizopeleka mbele.

liverpool tuna wachezaji wazuri sana kushinda timu zingine,ila tunataka wachezaji wetu wasifanye makosa hata kidogo na wakati makosa ni sehemu ya mchezo.

kuna ile game na flamingo ya klabu world cup, yule kocha wa flamingo baada ya ile mechi akasema henderson ndio kiungo bora duniani. maana kwenye ile mechi alikuwa mwiba sana.
Teh

Lazima tuwapige spana
 
Teh

Lazima tuwapige spana
mara nyingi ndio inasadia timu kubadilika, hata kama tunashinda ila ushindi ukiwa hauleweki yaani wa kubahatisha lazima tukosoe maana tuna taka ushindi usio kuwa na pressure yoyote.

msimu uliopita kunakipindi tulishinda mechi 10 mfululizo na tuliluhusu goli moja tu, goli dhidi ya wolve. lakini mijadala haikuisha ya kuikosoa timu .timu za wenzetu wakishinda hata kwa ujanja ujanja hawana habari ya kukosoa timu wao wanasifia tu.
 
mara nyingi ndio inasadia timu kubadilika, hata kama tunashinda ila ushindi ukiwa hauleweki yaani wa kubahatisha lazima tukosoe maana tuna taka ushindi usio kuwa na pressure yoyote.

msimu uliopita kunakipindi tulishinda mechi 10 mfululizo na tuliluhusu goli moja tu, goli dhidi ya wolve. lakini mijadala haikuisha ya kuikosoa timu .timu za wenzetu wakishinda hata kwa ujanja ujanja hawana habari ya kukosoa timu wao wanasifia tu.
Liverpool fans tuna akili

Hamna mjinga anashangilia livapuu
 
Kila mchezaji tunayemsajili lazima Injury imuhusu mbn wengine wapo vzr wakisajiliwa kwingine sisi why? Au hatuoni mbali ama?


Chamberlain akipokuwa arsenal alikuwa hapati namba ila Hana Injury?

Keita! Alikiwasha Sana Bundesliga Leo kukicha injury hata kwenye mazoezi?

Shakiri! HUYU nadhani Kuna mengine yasiyowekwa wazi kuhusu yeye


Klop jaribu kuona mbali
Mane na Salah Acheni ujinga wenu


YNWA ✔️ 💪
 
tatizo akikaa hapo nyuma ukiesabu pass alizopiga alizorudisha nyuma ndio nyingi kuliko alizopeleka mbele.

liverpool tuna wachezaji wazuri sana kushinda timu zingine,ila tunataka wachezaji wetu wasifanye makosa hata kidogo na wakati makosa ni sehemu ya mchezo.

kuna ile game na flamingo ya klabu world cup, yule kocha wa flamingo baada ya ile mechi akasema henderson ndio kiungo bora duniani. maana kwenye ile mechi alikuwa mwiba sana.
Mkuu Ladder 49 Kuna kitu captain anacho sisi hatukioni, Ila tactician wao wanakiona. Wakati sisi tunapohitaji matokeo uwanjani na kwa Aina ya uchezaji wa captain unatufanya kuona anashindwa kusukuma mipira mbele na kuipeleka wide n back. Tena kwa msimu huu zile pass zake kapunguza kwa kiwango kikubwa Sana.

Tunapohitaji Sana kwenye gemu zetu kwa Sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom