OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Yani wewe una macho ya kuona lakini huoni😂😂😂Uko serious mkuu?
kwa timu gani mliyonayo hadi ujipe matumaini ya kubeba ndoo msimu huu?
hata hivyo sio mbaya kujipa matumaini....
Kila anayekutana na Chelsea kwa sasa anakufa 4,3,5 ..una Ziyech, Werner, Mendy, Silva ..hahaha unataka nini tena😂😂😂
Chelsea 4-1Shelfed United
Ila leo nimeumia sana Mendy kukosa Clean Sheet🤥🤥🤥




