one by one
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 5,835
- 9,325
Uchezaji wa Mane na Salah ndio unatufanya tutishe kwa miaka mitatu wakati wowote wanaweza kufanya kitu. Mane wakati mwingine utadhani kapoteza mpira kumbe anawaacha watu. ukitaka kujuwa umuhimu wao waweke nje utaona team nzima inapoteza makali. Hawa ndio wanatufanya tutishe kuna siku mtu anakuwa chini ya kiwango ni kawaida lakini kwakuwa wana vitu special wanapewa muda sababu wakati wowote wanabadilika. Jota anamuingiza taratibu katika mfumo ili asipate pressure ila bonge la mchezaji toka yuko Wolves anatokea kushoto na ana speed na mfungaji mzuri.Salah na Mane mimi hata siwajadili tena uchezaji wao kwasababu huu ni msimu wa Tatu wanacheza vile! Hivyo inaonesha Kocha ameridhia au wanacheza vile kwa maelekezo ya Kocha.
Enewey! Hawa ni wachezaji wetu muhimu Mno kwani adui hajui ni muda gani watafunga.
Goli tamu2nd goal. JotaView attachment 1616790
When Sky pundits were discussing about who should Jota replace among the front three Jamie Carragher admitted that Firmino is no longer a threat in front of the goalJana baada ya game niliingia website ya BBC, Match of The Day.
Kuna polls nadhani ilifanywa na BBC wenyewe kwa mashabiki wa Liverpool kuhusu Jota kuwa starter nafasi ya Bobby.
Around 5,000 wanataka Jota aanze, na ni 1,000 pekee wanaotaka aendelee kuanzia benchi.
Ninachokiona hapa kelele za mashabiki zinaweza kulipa, Klopp akafanya mabadiliko.
Pia interview ya Klopp (post match) alisema, "He's much better than I thought he would be and that's really impressive,"
"He's an exceptional talent. He has the speed, physicality, technique, and he's both-footed."
Hii ni indicator ya Klopp kuanza kumwelewa Jota na ikibidi afanye jambo nafasi ya Bobby.
La sivyo ni mpaka tupoteze poteze mechi kadhaa ndo mabadiliko yafanyike kama ilovyokuwa kwa Fabinho na Hendo (kumchezesha Hendo namba 6 kulitucost ubingwa msimu ule).
Well Said NgwabaFirmino huu ni msimu wa pili anacheza mauno tu kama Gwajima! Kwahiyo misimu miwili huwezi kusema mchezaji amechoka wakati alipumzika miezi 3 kipindi cha Corona.
Ukweli ni kwamba Bobby amekwisha muda wake, sasa ni kusubiri mkataba wake umalize aende sehemu ambayo atapata nafasi ya kucheza.
[emoji871]Jota kwasasa aanze tu hakuna namna, Na asichezeshwe Pembeni bali achezeshwe Striker.
MANE - JOTA - SALAH
When Sky pundits were discussing about who should Jota replace among the front three Jamie Carragher admitted that Firmino is no longer a threat in front of the goal
Sawa mkuu nimekuelewa. Ila kwa wakati huu ambao front 3 yetu inaonyesha kusuasua klopp hana budi kuwatumia, Hivyo swala la kupata nafasi sina mashaka nalo na ndo maana unaona anajaribu kutengeneza mfumo utakao wawezesha Jota/Shaqiri wote kucheza.
Kwa Mtazamo wangu naona tunawategemea sana new player kuliko hawa waliopo maana niwachache mpaka sasa walio maintain viwango vyao. Wengi wao wame flop.
Hapa ndo naelewa kwanini Adriana alipigwa bao saba🤥🤥🤥🤥
Iyo ni kweli.Hii si ya kuedit kweli? Yani adake kichwa kabisa badala ya mpira? 😲😲
Hivi hawa villa walitupiga vipi 7? Mbona wengine wanajigongea tu
Mutajifanya ni kisambaa, wee mgosi?Mukifungwa munabadili na lugha.
Mutajifanya munaongea lugha ya malikia.
Ila leo ni kimatumbi kwenda mbele.