SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,444
Acha kuongea kama sio mwanamichezo bro.Aliyefaidika ni aliyechukua kombe. Bila hiyo VAR asingechukua.
Kwa mujibu wa stats Liverpool haipo hata kwenye top 3 ya timu zilizofadika na VAR. Sasa imekuaje walionufaika nazo kwa mara zaidi hawakubeba kombe? Give credits when it is due.
Na ukweli mchungu ni kwamba ukiondoa mechi zote ambazo unaona kabebwa na VAR bado points zake hazikuweza kufikiwa na yeyote.

