OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,065
Hahaha Kai na Werner wana magoli epl tayari..na bado mengi yanakujaEbu kapambane huko upate point. Kutwa upo humu.
Hahaha Kai na Werner wana magoli epl tayari..na bado mengi yanakujaEbu kapambane huko upate point. Kutwa upo humu.
Kama namuona next Liverpool coach akiendelea kupata uzoefumy consolation today..... SG wins the Old Firm league derby to make a huge league statement for the season.
View attachment 1603222
Uyo kocha wenu alibeza usajili wa Lampard tulieni muone matokeo
#CFC
Hivi nyinyi Watu ndiyo hamujui Captain wetu anachokifanya au?
Vip kwan game bado inaendelea
Naona zile pointi ulijiaminisha humu leo mmegawana na wazee South Coast...Hahaha Kai na Werner wana magoli epl tayari..na bado mengi yanakuja
Naona zile pointi ulijiaminisha humu leo mmegawana na wazee South Coast...
YNWA
Hii liverpool msimu huu ulisema tokea ligi inamalizika ..hamna timu ya kusimama misimu miwili mfululizo bila ya usajili wa maana.
Juzi mumeburuzwa goli saba leo mumetowa draw ivyo yani trend inazidi kushuka..
Uyo kocha wenu alibeza usajili wa Lampard tulieni muone matokeo
#CFC💙💙💙
VVD amepata rupture ya Anterior Cruciate Ligament (ACL) ambayo wataalamu wanasema matibabu yake mpaka ifanyiwe surgery! Na wanasema kupona kwake muda wa chini inahitaji Miezi 7.
Ujuaji mwingi ngoja tuone sasa kiburi chake kitamsaidia nini kwenye kipindi hiki.Hiyo ni injury moja mbaya sana aisee.
Tutammiss sana, ila pia kiburi cha kutosajili beki wa kati ndo faida yake tutaiona.
Ujuaji mwingi ngoja tuone sasa kiburi chake kitamsaidia nini kwenye kipindi hiki.
Msimu uliopita game ya kwanza matokeo yalikuwa 0/0.Naiheshimu Liverpool hata msimu hii naipa nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa na hata mechi leo niliamini atashinda,ila Everton msimu huu ana jambo lake hawa jamaa hawa bahatishi wanajua wanacho kifanya.
Tuwe nyuma ya team, sahihi kabisa.Hamna bao lolote Adrian kasababisha leo!
Bao la kwanza ni very powerful header,beki ilitakiwa iwepo pale kuzuia
Bao la pili ni free header,beki ilitakiwa iwepo pale.
Liverpool HALISI tuwe nyuma ya team,hamna haja ya kutukana wachezaji,tuwaachie Liverpool-Pep Guardiola na Liverpool-Ancelotti wafanye hayo
Game yenu mmeshinda?Hii liverpool msimu huu ulisema tokea ligi inamalizika ..hamna timu ya kusimama misimu miwili mfululizo bila ya usajili wa maana.
Juzi mumeburuzwa goli saba leo mumetowa draw ivyo yani trend inazidi kushuka..
Uyo kocha wenu alibeza usajili wa Lampard tulieni muone matokeo
#CFC
Bad news man..VVD amepata rupture ya Anterior Cruciate Ligament (ACL) ambayo wataalamu wanasema matibabu yake mpaka ifanyiwe surgery! Na wanasema kupona kwake muda wa chini inahitaji Miezi 7.