Hii mechi everton kaponea chupu chupu
Hajasema kufunga bali kuondoka na points 3 haiwezekani. This is derby mzee.Adrian golini, Gomez nafasi ya VVD halafu bado unasema utamfunga Everton onfire 8??
🙏🙏🙏🙏 cjui Kama tutatetea hili kikombeCalm down.
Kisa mechi moja? Au? Tena golini akiwa Adrian?[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] cjui Kama tutatetea hili kikombe
VAR aisee.Hii mechi everton kaponea chupu chupu
Hate mimi naona sio kwenu nyie FT 2-2 .Labda huko kwenu sio kwa Liverpool.
Vizuri kwa kuona hilo. Ulidhani atabeba tu points kiurahisi kama alipopita? Umetazama mpira?Hate mimi naona sio kwenu nyie FT 2-2 .
Ndio kishabeba hapo point yake moja.Vizuri kwa kuona hilo. Ulidhani atabeba tu points kiurahisi kama alipopita? Umetazama mpira?
I think no. Usingesema unayoyaongea hapa.
Yes moja. Sio tatu. Tena kwa msaada wa VAR. Walikuwa wanaomba mpira uishe.Ndio kishabeba hapo point yake moja.
Hii mechi liva ndiye kaponea chupuchupuHii mechi everton kaponea chupu chupu
Hahaha msimu uliopita liva VAR iliwapa msaada mkubwa leo unaishangaa Everton?Yes moja. Sio tatu. Tena kwa msaada wa VAR. Walikuwa wanaomba mpira uishe.
Ngoja wakikitana na timu kama zenu waendelee kuzawadiwa tatu tatu.
Muwe mnatazama mechi wazee. Au wewe umeangalia kwenye channel tofauti na sisi?Hii mechi liva ndiye kaponea chupuchupu
Sio kwa msaada wa VAR,bali kwa uwezo wa wachezaji na mbinu za kocha wao huwezi kuwa uignore Everton kwa msimu huu sio timu kubeza.Yes moja. Sio tatu. Tena kwa msaada wa VAR. Walikuwa wanaomba mpira uishe.
Ngoja wakikitana na timu kama zenu waendelee kuzawadiwa tatu tatu.
Leta stats za timu zilizofaidika na VAR msimu ulopita then talk again.Hahaha mimu uliopita liva VAR iliwapa msaada mkubwa leo unaishangaa Everton?
Nilikosea aiseeMmeshaanza kutafuta sababu