DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Wewe ya shemeji yako?Vipumbavu
Liva sio ya baba yao
Wewe ya shemeji yako?Vipumbavu
Liva sio ya baba yao
Wazee wa kucomments kwa english mnaendeleaje mzee Jurgen vipi ameshapona majeraha ya ajali aliyogongwa na bus la astonvilla.


Katika mambulula wa soka huyo Momo ndio mwenyekiti, hana alijualo... Zaidi ya umbeaNiliangalia vzr , zile deflection Hata moja hakuokota ....
Subiri mechi na Everton utaona....
Leo Ricardo momo Anasema Mara mia Karius
Namkubali sana Mzee wa Kudere , Liverpool lia liaKatika mambulula wa soka huyo Momo ndio mwenyekiti, hana alijualo... Zaidi ya umbea
Akae kwa kutulia, zile deflection ukidaka nyonga huna
Namkubali sana Mzee wa Kudere , Liverpool lia lia
Dah Tunakukera , basi tunaondokaHivi nyie si mna thread yenu?
Kwa Nini mnashinda huku?
Dah Tunakukera , basi tunaondoka
Acha kutuchekaUkiskia Jogoo kafa kwa utitiri ndio huku.
Nacheka lakini naogopaa!!

Wewe umetufukuza ,je wewe ni timu gani?Hii thread naona wenyeji sasa hivi hawajaongea English sana.


Wewe umetufukuza ,je wewe ni timu gani?
Au Liverpool maslahi?![]()
Naona unanitafutaWewe ya shemeji yako?
Labda kama hujaangalia ile mechi, jamaa alichoma goli moja tu kati yawaliyobugizwa, na aliclear one v one moja pia, hayo mengine ni makosa ya timu nzima,,,,,
Ninachokiona hapa ni tatzo la nyota tu
Ni upumbavu kuamini kwamba kila deflection lazima iwe goal, kuna makipa kibao washasave deflection nyingi zilizotokea ndani ya mita mbili, lkn babu yenu kashindwa kusave deflection zilizotokea nje ya kumi na nane bado mnamuona bonge la kipa!Mashabiki wa liver mnatakiwa kukubali kuwa timu yenu yote ilicheza vibaya,
Kumtupia lawama Adrian sio freshi wala nini,Tukiachana na goli la kwanza,Magoli mengine yote aliofungwa 'ali deserve' kufungwa,we unamlaumu vipi kipa kufungwa magoli yaliyotokana na 'deflection'!!.
Hakuna sababu ya ku panic hapo au kisa kakwambia ukweli?Achana na sisi!
Kapangie Washabiki wa Timu yako unayoshabikia.
Sisi usitupangie cha kuandika wala cha kukosoa au kusapport.
Hata Allison angekuwepo kwa uchezaji ule pengine wangepunguza idadi ya magoli labda kutoka 7-5 ila kipigo kingekua palepale.Hata kipa angekuwa nani wasingeepuka hiki kikombe
Acha upotoshaji mkuu, tusingefungwa goli hata 3, Adrian ni mbwiga sanaHata Allison angekuwepo kwa uchezaji ule pengine wangepunguza idadi ya magoli labda kutoka 7-5 ila kipigo kingekua palepale.
Mbwiga ndio maana yupo Liverpool mpaka sasa ndio mbadala wa Allison.Acha upotoshaji mkuu, tusingefungwa goli hata 3, Adrian ni mbwiga sana
Naona unanitafuta
Ni nakuheshimu
Najua unajiheshimu
Don't
Tatizo maneno yako,Umesahau na benchi la ufundi mkuu wengine tulikua hatumjui ni baada ya kuletwa na kupangwa ndo tukamjuaAdrian ni mpumbavu na wanaomtetea ni wapumbavu kama yeye