Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,383
- 12,577
Miaka matatu inajayo tena ndio watakuwa na hali mbaya zaidi kwa sababu ,Muokozi wao au Mwenye timu AUBAMEYANG Atakuwa na miaka 34 na atakuwa ameshajiondokea zake kwenda China.DullyJr na Aaron Arsenal nawaonea wivu aisee mmepata jembe haswa..
Thomas pale mmemaliza kile ambacho Wenger kilichomshinda..
Mmepata natural box to box MF na kwa bei chee kabisa £50m lol yaani Mikel naanza kumwelewa aisee misimu mitatu ijayo kwa kasi hii atakua levo zingine..
Mmemwachia El choro kilio anadai board imemuangusha kumtoa Partey kuja kwenu...
YNWA