DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Ulianza mama now shemeji relax acha upumbavu fake ID zisikupumbaze
Kweli nyani haoni...... 
Kwahiyo wewe ulivyoita wanaomtetea adrian ni wapumbavu ulikuwa sawa?
Ukaongeza kuwa timu sio ya baba yao pia ulikuwa sawa,
Kaa utulie, pumzika, kichapo cha 7 kutoka kwa villa sio mwisho wa liverpool,
Liverpool ni timu kubwa sana, yale ni matokeo ya soka.


