Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Ni ujinga tu!
Tumemfunga Chelsea bila Hendo hakuna aliyesema Kitu.
Tumemfunga Arsenal bila ya Hendo hakuna aliyesema Kitu.
Tuliwahi kupigwa 6 na Stoke City tukiwa na Hendo hakuna aliyesema Kitu.
Tuliwahi kupigwa 5 na Mancity tukiwa na Hendo hakuna aliyesema Kitu.
Tulipigwa 4 na Spurs tukiwa na Hendo hakuna aliyesema Kitu.
Tulipigwa 4 na Man City tukiwa na Hendo hakuna aliyesema Kitu.

Lakini wanachagua mechi na kuleta visababu vya kijinga.

Hili Timu Mibeki na Adrian ni Mibovu! Nimemaliza.
 
Liverpool HALISI tusimponde Adrian sababu bao 7 kafungisha 1 tu,hizo bao 6 zilifungishwa na nani?
Beki yetu ya kati ina matatizo sana kwa sasa ya kukaba kwa macho lkn Klopp atarekebisha hii
Naungana na ww mwan liverpool halisi yaan mtu kachoma goli moja wanamwangushia zigo la lawama .......hv zile deflection unazizuiahe kwa mfano .. Haya lile goli la tatu gomez anageuzwageuzwa kama mtoto kipa pale anafanyaje

Hata kama adrian alifanya makosa ila beki ilikuwa na makosa zaid
 
Ni ujinga tu!
Tumemfunga Chelsea bila Hendo hakuna aliyesema Kitu.
Tumemfunga Arsenal bila ya Hendo hakuna aliyesema Kitu.
Tuliwahi kupigwa 6 na Stoke City tukiwa na Hendo hakuna aliyesema Kitu.
Tuliwahi kupigwa 5 na Mancity tukiwa na Hendo hakuna aliyesema Kitu.
Tulipigwa 4 na Spurs tukiwa na Hendo hakuna aliyesema Kitu.
Tulipigwa 4 na Man City tukiwa na Hendo hakuna aliyesema Kitu.

Lakini wanachagua mechi na kuleta visababu vya kijinga.

Hili Timu Mibeki na Adrian ni Mibovu! Nimemaliza.
Hahaaha Hendo the super bam...

Pale hata angekua yumo yeye na Thiago kipigo kilikua pale pale..

Liverpool ikicheza kama unit hakuna wa kuizuia lakini kukiwa na individual inconsistency basi tunakua dhaifu kweli kweli...

We are stong when we play as a unit and not otherwise..

Our players are not the most gifted technical wise but they are super workaholics.. So when they sleep on the job like vs Villa basi ujue ni kipigo tu hamna namna..

YNWA
 
Klopp ni genius ila inabidi ajue wale nao ni makocha na wanafikiria

Aaache arrogance za kitoto
Hua nikipata muda natazama mechi za timu zote EPL ili kupata picha halisi ya levo ya ushindani tutakavyokutana nazo na ukweli ni kwamba msimu huu ndugu yangu ligi ni ngumu balaa...

Tujiadae kisakolojia hali itakua hivi hivi wakati mwingine...

Jana dirisha limefungwo na pale kati bado wamo Gomez na Matip huku wakisaidiana na Fabby...

Ox, Thiago, Hendo, Keita ni pancha muda wowote hivyo tutegemee vijana Jones, Grujic, Taki wa step up haswa...

YNWA
 
Liverpool HALISI tusimponde Adrian sababu bao 7 kafungisha 1 tu,hizo bao 6 zilifungishwa na nani?
Beki yetu ya kati ina matatizo sana kwa sasa ya kukaba kwa macho lkn Klopp atarekebisha hii
Pamoja mkuu,
 
Watu wamekuwa Vipofu sana!

Timu imekuwa na madhaifu mengi sana ya kufanyia kazi lakini watu wanjitekenya kwa visingizio vya kutokuepo Hendo ili kuficha madhaifu ya Timu.

Nakumbuka tulifungwa na Real Madrid kwenye mechi ya Finali ya CL huku mbele yake kukiwa na Beki Lovren na Midfield kukiwa na Lallana lakini walifika kumwita Karius ni Mvuta Bange.

Leohii Golini tuna Worst Keeper ever kuwahi kuichezea Liverpool lakini amepata Watetezi utadhani yeye ni Ter Stegen na kukimbizia visingizio kuwa eti tumefungwa kwasababu Hendo hakucheza!!

Mbona tumemfunga Chelsea Darajani bila ya Hendo?? Mbona tuna Points 9 bila ya Hendo?

Tuwache visingizio udhaifu wa Timu yetu umeanza kuonekana tokea msimu uliopita baada ya Corona.

Kwenye mechi vs Leeds na Arsenal ni wazi tumeshinda kwa Jitihada binafsi za Alisson.

Lakini kwenye Defence yetu tumeruhusu mipira mengi sana ambayo imevuja.

TAA ni same amebaki kwenye Consistency yake ileile kila Mtu anamjua kuwa si mzuri kwenye kudefend that's why anatumika kama creator.
Robbo yupo Vizuri.

Lakini tuseme ukweli VVD amekuwa ball watching sikuhizi (Najua hapa Watu watakereka lakini Naomba Samahani).

Gomez kwasasa ni Lovren kijana tu aliyezaliwa Uengereza.

Kuhusu Adrian nisiwe mnafiki wacha Watu waniambie namchukia lakini huyu ni takataka tu 🚮🚮🚮

Hivyo Watu waendelee kujitia upofu na kusingizia Hendo, sijui Mane lakini tukubali tu tuna tatizo kubwa la Timu kuliko tunavyofikiria.

Na Aceloti anavyocheka muda huu huwezi kuamini.
 
Lakini tuseme ukweli VVD amekuwa ball watching sikuhizi (Najua hapa Watu watakereka lakini Naomba Samahani).

VVD toka aonekane kwenye ile tuzo akashika namba 2 kuna namna kama imeathiri performance yake au ni coincidence tu.

Toka mwanzo, VVD hajawahi kuwa mzuri mipira ya chini, makosa yake yalikuwa yanakuwa covered na ubora wa Matip na Gomez kipindi wako moto.

Sasa kama wanaompa cover wamekuwa uchochoro, very likely na yeye tutauona uchochoro wake.

Tuliwahi kuzungumzia jinsi VVD anavyorudisha sana mipira kwa kipa, yeye kama kiongozi kwenye safu ya ulinzi, wenzake nao wameshaiga hii kitu. Na kati ya magoli 4 tunayofungwa, kuna moja linatokana na kurudisha mpira kwa kipa.

Anyway, sisi HALISI hatutakiwi kuwasema wachezaji wetu, wewe Liverpool Maslahi tunakujua, huipendi timu. Una maslahi yako.
 
Watu wamekuwa Vipofu sana!

Timu imekuwa na madhaifu mengi sana ya kufanyia kazi lakini watu wanjitekenya kwa visingizio vya kutokuepo Hendo ili kuficha madhaifu ya Timu.

Nakumbuka tulifungwa na Real Madrid kwenye mechi ya Finali ya CL huku mbele yake kukiwa na Beki Lovren na Midfield kukiwa na Lallana lakini walifika kumwita Karius ni Mvuta Bange.

Leohii Golini tuna Worst Keeper ever kuwahi kuichezea Liverpool lakini amepata Watetezi utadhani yeye ni Ter Stegen na kukimbizia visingizio kuwa eti tumefungwa kwasababu Hendo hakucheza!!

Mbona tumemfunga Chelsea Darajani bila ya Hendo?? Mbona tuna Points 9 bila ya Hendo?

Tuwache visingizio udhaifu wa Timu yetu umeanza kuonekana tokea msimu uliopita baada ya Corona.

Kwenye mechi vs Leeds na Arsenal ni wazi tumeshinda kwa Jitihada binafsi za Alisson.

Lakini kwenye Defence yetu tumeruhusu mipira mengi sana ambayo imevuja.

TAA ni same amebaki kwenye Consistency yake ileile kila Mtu anamjua kuwa si mzuri kwenye kudefend that's why anatumika kama creator.
Robbo yupo Vizuri.

Lakini tuseme ukweli VVD amekuwa ball watching sikuhizi (Najua hapa Watu watakereka lakini Naomba Samahani).

Gomez kwasasa ni Lovren kijana tu aliyezaliwa Uengereza.

Kuhusu Adrian nisiwe mnafiki wacha Watu waniambie namchukia lakini huyu ni takataka tu 🚮🚮🚮

Hivyo Watu waendelee kujitia upofu na kusingizia Hendo, sijui Mane lakini tukubali tu tuna tatizo kubwa la Timu kuliko tunavyofikiria.

Na Aceloti anavyocheka muda huu huwezi kuamini.
VVD has to step up.. since game ya kwanza mpaka sasa hajaprove ubora wake kabisa
 
VVD toka aonekane kwenye ile tuzo akashika namba 2 kuna namna kama imeathiri performance yake au ni coincidence tu.

Toka mwanzo, VVD hajawahi kuwa mzuri mipira ya chini, makosa yake yalikuwa yanakuwa covered na ubora wa Matip na Gomez kipindi wako moto.

Sasa kama wanaompa cover wamekuwa uchochoro, very likely na yeye tutauona uchochoro wake.

Tuliwahi kuzungumzia jinsi VVD anavyorudisha sana mipira kwa kipa, yeye kama kiongozi kwenye safu ya ulinzi, wenzake nao wameshaiga hii kitu. Na kati ya magoli 4 tunayofungwa, kuna moja linatokana na kurudisha mpira kwa kipa.

Anyway, sisi HALISI hatutakiwi kuwasema wachezaji wetu, wewe Liverpool Maslahi tunakujua, huipendi timu. Una maslahi yako.

Mimi ni Liverpool PEP 😂😂

Halisi ni wewe na DullyJr munaotaka ushindi kupitia kumuomba Mungu na kushikamana JF wakati Game inachezwa England 😂😂😂
 
Mimi ni Liverpool PEP 😂😂

Halisi ni wewe na DullyJr munaotaka ushindi kupitia kumuomba Mungu na kushikamana JF wakati Game inachezwa England 😂😂😂

Hahaha! Noma sana.

Sasa hivi timu yetu imekuwa ni hospitali ya rufaa.

Ila mimi sasa hivi naona bora Henderson kuliko Bobby, atakayenisaidia kumweka Bobby benchi atakuwa amefanya jambo la maana.

Muda wa wiki mbili kuishangilia, wiki moja kuugulia umerudi.
 
Hahaha! Noma sana.

Sasa hivi timu yetu imekuwa ni hospitali ya rufaa.

Ila mimi sasa hivi naona bora Henderson kuliko Bobby, atakayenisaidia kumweka Bobby benchi atakuwa amefanya jambo la maana.

Muda wa wiki mbili kuishangilia, wiki moja kuugulia umerudi.
Mimi nilishasemaga hivi Ukimuona Bobby ameanza kwenye kikosi cha wachezaji 11 Mimi huwa nahesabu tupo 10 uwanjani.
 
Watu wamekuwa Vipofu sana!

Timu imekuwa na madhaifu mengi sana ya kufanyia kazi lakini watu wanjitekenya kwa visingizio vya kutokuepo Hendo ili kuficha madhaifu ya Timu.

Nakumbuka tulifungwa na Real Madrid kwenye mechi ya Finali ya CL huku mbele yake kukiwa na Beki Lovren na Midfield kukiwa na Lallana lakini walifika kumwita Karius ni Mvuta Bange.

Leohii Golini tuna Worst Keeper ever kuwahi kuichezea Liverpool lakini amepata Watetezi utadhani yeye ni Ter Stegen na kukimbizia visingizio kuwa eti tumefungwa kwasababu Hendo hakucheza!!

Mbona tumemfunga Chelsea Darajani bila ya Hendo?? Mbona tuna Points 9 bila ya Hendo?

Tuwache visingizio udhaifu wa Timu yetu umeanza kuonekana tokea msimu uliopita baada ya Corona.

Kwenye mechi vs Leeds na Arsenal ni wazi tumeshinda kwa Jitihada binafsi za Alisson.

Lakini kwenye Defence yetu tumeruhusu mipira mengi sana ambayo imevuja.

TAA ni same amebaki kwenye Consistency yake ileile kila Mtu anamjua kuwa si mzuri kwenye kudefend that's why anatumika kama creator.
Robbo yupo Vizuri.

Lakini tuseme ukweli VVD amekuwa ball watching sikuhizi (Najua hapa Watu watakereka lakini Naomba Samahani).

Gomez kwasasa ni Lovren kijana tu aliyezaliwa Uengereza.

Kuhusu Adrian nisiwe mnafiki wacha Watu waniambie namchukia lakini huyu ni takataka tu 🚮🚮🚮

Hivyo Watu waendelee kujitia upofu na kusingizia Hendo, sijui Mane lakini tukubali tu tuna tatizo kubwa la Timu kuliko tunavyofikiria.

Na Aceloti anavyocheka muda huu huwezi kuamini.
Kabla ya ile mechi ya Villa nilimjibu ndugu yangu mvamizi Ollachuga Oc tunakutana na rejuvenated Villa ambao baada ya mpira kurejea upya baada ya corona wamerudi na jambo wapo tofauti kabisa na kabla ya mapumziko ya corona hivyo japo sikutarajia tupigwe 7 nilitarajia a full cracker na pengine tupate angalau ushindi wa 2 ama 3...

Tukumbali dalili ni kwamba hata kabla ya kile kipigo cha Watford na Alet UCL hali ilikua mbaya sana kwetu tulikua tunashinda sana sana kwa vile timu nyingi msimu uliopita zilipoteana vimbaya mno..

Na japo hatukua kiwango lakini tulicheza kama timu tulishambulia kama timu tulizuia kama timu nk sasa haya yanayoonekana sasa ni kwamba yale tuliyofanya kwa ustadi mkubwa kabisa na kuletea matokeo hatufanyi tena na wenzetu Arsenal, Leeds, Villa wameyafanya vyema zaidi yetu na kutuyubisha haswa..

Klopp wala asitafute mchawi kwani kwa mara ya kwanza timu nyingi zipo hoi na wachezaji wameuzwa kwa bei chee sana alikua na uwezo wa kuuza na kununua upgrade ya tulionao na biashara ilikua wengi wala sio cash mbali ni malipo ya muda mrefu mfano ni Jota na Thiago..

Tumebaki na wachezaji wengi ambao labda Klopp abadili gear angani lakini sio wakicheza yupo Shaqir, Wilson, Grujic wamebaki kwa vile klabu zimeshindwa kufika bei Wilson Burnley walifika £12m Liverpool wanakomaa £20m,..Shaqir nadhani Lazio walifika £10m Liverpool wanakomaa £20m na ni mgonjwa robo 3 ya msimu sasa nani atatoa hizo ela kwa dogo lol.. Grujic Klopp alisema aodoke mazima klabu zilizomhitaji zilitaka mkopo kwanza.. Hivyo japo January haipo mbali lakini tumekosa kupata ela angalau labda tungeweza kununua beki mmoja ama kipa mwingine maana baada ya ile gemu ya Alet sina imani nae tena ku deputise Allison..

Ki ukweli bila Allison tuna matatizo makubwa sana pale nyuma maana ule ukuta ni janga...

Hapa ni maombi yetu kwa Matip arejee kwenye kiwango chake kileeee..

Ile gemu hata angekuwepo Hendo ilikua kipigo tu kwani Salah na Robbo walicheza powa na tukapoteza vile vile...

Yajayo yanafurahisha..

YNWA
 
They call him Firmino the system player
He's got no pace, no pull
Ameshaanza kuchoka lets accept this fact
Hahaha Firmino from being the super hero now he is the villain...

Swali langu hua ni je huko mazoezini Klopp na jopo lake hua wanaona nini kwa hawa jamaa i mean Keita, Gomez, Firmino kwa sasa ni kama ndio wametua klabuni bila pre-season hivyo bado hawajazoeana na wenzao haha...

YNWA
 
DullyJr na Aaron Arsenal nawaonea wivu aisee mmepata jembe haswa..

Thomas pale mmemaliza kile ambacho Wenger kilichomshinda..

Mmepata natural box to box MF na kwa bei chee kabisa £50m lol yaani Mikel naanza kumwelewa aisee misimu mitatu ijayo kwa kasi hii atakua levo zingine..

Mmemwachia El choro kilio anadai board imemuangusha kumtoa Partey kuja kwenu...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom