Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Baada ya goal la 5 kuingia wachezaji wakazila pale uwanjani, yan kila mtu alikua anacheza anavyojua yeye

Lakin wapuuzi wachache wa buza walikua wanaumia sana.

Hapo bado hamjakutana na EVERTON
 
FB_IMG_1601918059565.jpeg
 
Naona inzi wamepungua jukwaa hili,,....ile harufu mbaya ya jana nayo pia imepungua karibu kuisha...
😁 😁😁...
Ila Klopp ana kiburi aisee, hivi kweli yule Adrian ndo anaendelea kukomaa nae tu?...
Kwamba haoni mapungufu yake....
 
Tatizo sio 7

Tatizo ni kufungwa na mid table timu kama astonvilla gori 7

Aibu

Aibu


Bora mngepigwa na lecister, everton, city, chelsea, au arsenal

Sasa avl anawapachia kuni saba, zinasogezwa huko nyie mnaangalia tu,nashindwa hata kukaa golini nyote
 
Liverpool baada ya kazi ngumu ya miaka 3 ya kutafuta Ubingwa wa Premier walipaswa kuongeza wachezaji kati ya wa 5 mpaka 6 ili kuongeza nguvu.
Na kati yao tulipaswa kumpata beki wa kati mwenye nguvu na akili mfano wa Kalidou Koulibaly wa Napoli ili kuimarisha safu ya ulinzi iliyoyetereka.
Unajua Fergie bhana hakua bingwa bingwa bingwa bingwa mpaka basi kwa kubahatisha, alipandisha wachezaji na kusajili kwa mahebabu makali sana ili kuhakikisha makali ya timu kuchukua EPL yapo pale pale...

Hili la kusajili kwa hesabu angalau Edwards amefanikiwa mno tangu Klopp atue Liverpool ishu kuu nayaiona mie ni pale tunaaminishwa lazima tuuze ili tununue na eti Corona imetuacha weupee pee..

Gomez kiwango chake hakijaanza kuporomoka jana ina maana dirisha hili kulikua na muda wa kutosha kusajili beki wa kati, namba 9 wa ukweli, namba 10 wa ukweeee...

Muda utasema wape tunaelekea....

Kuna mechi dhidi ya Everton
Kuna mechi dhidi ya Citizens
Kuna mechi dhidi ya Atlanta.

Yaani hapo tukatazame mpira na maji ya baridi mkononi 😂😂😂😂😂😂

YNWA
 
Naona inzi wamepungua jukwaa hili,,....ile harufu mbaya ya jana nayo pia imepungua karibu kuisha...
😁 😁😁...
Ila Klopp ana kiburi aisee, hivi kweli yule Adrian ndo anaendelea kukomaa nae tu?...
Kwamba haoni mapungufu yake....
Mkuu huyu drunken master hapangiwi haha..

Kuna muda utamchukia haha kuna muda utasema woow huyu ni wa hapa hapa..

Love him, hate him haha he is the sure best shot we have regaining our top spot as England best always...

YNWA
 
Hili genge la wahuni bado tu halijasambaratika tu
Poleni na kipigo cha jana
 
Unajua Fergie bhana hakua bingwa bingwa bingwa bingwa mpaka basi kwa kubahatisha, alipandisha wachezaji na kusajili kwa mahebabu makali sana ili kuhakikisha makali ya timu kuchukua EPL yapo pale pale...

Hili la kusajili kwa hesabu angalau Edwards amefanikiwa mno tangu Klopp atue Liverpool ishu kuu nayaiona mie ni pale tunaaminishwa lazima tuuze ili tununue na eti Corona imetuacha weupee pee..

Gomez kiwango chake hakijaanza kuporomoka jana ina maana dirisha hili kulikua na muda wa kutosha kusajili beki wa kati, namba 9 wa ukweli, namba 10 wa ukweeee...

Muda utasema wape tunaelekea....

Kuna mechi dhidi ya Everton
Kuna mechi dhidi ya Citizens
Kuna mechi dhidi ya Atlanta.

Yaani hapo tukatazame mpira na maji ya baridi mkononi

YNWA
Kwa kawaida timu ikitoka kutwaa taji ni lazima ujazie nyama.
Na hii ni kawaida maana wachezaji wasipokuwa na ushindani wa namba ni lazima wajione Mungu watu.
Klopp asipochukua hatua za haraka basi tujiandae kisaikolojia
 
Nacheka kama mazuri ila tumepigwa saba daaaah klop ni hii ni wake-up call jipange team zote zipo vizuri hakuna game ya kudharau, baada ya kumfunga Chelsea na arsenal tukaona tumemaliza so, hii imetufunza jambo. YNWA at the end of storms there's golden sky.
Hapa tunatakiwa kusajili kipa haraka sana, nawahakikishieni endapo tutaenda Goodson park na Adrian kitakachotupata mtu asiniulize
 
Hivi goli kama hili ni la kumlaumu adrian????


Mnabeki za hovyo tu
Mabeki sio wa hovyo klop ndio wa hovyo,mabeki wetu Robertson & Alexander kwenye kikosi ndio wanaotegemewa kupeleka mashambulizi mbele at the same time wanatakiwa wakabe huwezi ukawa bora sehemu zote.
 
Mkuu higline ina maanisha mido wetu wakati tunashambulia wanacheza kama Wing back ina maana kwa vile Trent na Robbo wanakua up the field kusaidia mashambulizi basi kukaba wanasaidiwa na Keita juu na Gini huku chini na kati anakua mzee mzima Fabby ndio maana utaona assist kwa mido wetu hwanaga kabisa maana wao muda mwingi ni wa win mpira wawarudishie Robbo na Trent..

Sasa endapo tutashambuliwa mazima utaona Anodi akikimbia kurudi nyuma kumsaidia Gomez na Robbo kumsaidia VVD sasa kama tutapigwa kaunta attack ni dhahiri silaha yetu inakua kucheza offside trick ambayo wakati mwingine inagoma case study vs Gunners iligoma twice na Allison akatuokoa.. Jana pia iligoma na tukapigwa..

Kwa huu mfumo wa kutumia dynamic Lb na Rb basi wao kazi yao kuu ni kutengeneza scoring opportunities na kazi hii tazama assist zao msimu uliopita vs stat zao za defensive duty utaona wapi wana perform zaidi....

Ombi langu kwa Klopp na mpaka sasa bado kabisa limeshidikana ni kua na mifumo tofauti sio kila kukicha 4 3 3 na sio kila gemu ni ushindi zingine kuisaka hata droo ilimradi tupate hio pointi 1 ni muhimu sana.. Kama jana wakiwa wanaongoza 3 basi pale pale alitakiwa afanye system change hata 3 5 2 kwenda nao sawa pale kati ambapo Mcginn na Douglas walitawala kwa long pass za kutisha...

Hii ni wake up call..

Klopp ajue hii ni EPL wapinzani wanafanya analysis za nguvu namna ya kupata poiniti 3 hivyo akumbali kua na mifumo mbadala wa 4 3 3 panapobidi..

YNWA
Klopp ni genius ila inabidi ajue wale nao ni makocha na wanafikiria

Aaache arrogance za kitoto
 
Hahaha wapo busy kuuza Shaqir, Wilson, Grujic hayo ya jana wala wanaona ni zile having a bad day in the office Hahaha...

Klopp hapangiwi tazama baada ya kuambiwa na master Keane defence yetu ilikua sloppy vs Gunners alivyokuja juu ila sasa jana anakumbali ooh Keane alisema sloppy mbali jana we were bad.. Klopp hua anafanya kinyume kabisa cha hao ma pundits.. Walimwambia enzi za akina Sakho nk bila ukuta madhubuti hashindi chochote UK yeye akawa anakomaa na Karius wake mpaka pale aibu ya fainali vs Madrid yaliyotukuta basi ndio chap chap akaja Allison na tukashinda makombe ya nguvu sana..

Sasa wanamwambia highline inatufanya kua dhaifu tukipigwa kaunta yeye anakomaa nayo hivyo hivyo kwa vile tu hapendi kuambiwa wala kupangiwa..

Nevile na Keane kwa pamoja wameshinda EPL za kutosha na ukiona wanasema hili ni kikwazo kwa Liverpool basi ujue ni kikwazo kweli kweli.. Na haya jana wamesha ya document vya kutosha kwa kifupi we have been sitting on a time bomb na jana was the D day... Klopp ana wiki 2 za kutafakali winning formula kulingana na kikosi alichonacho..

YNWA
Aache ujuaji over
 
Hapa tunatakiwa kusajili kipa haraka sana, nawahakikishieni endapo tutaenda Goodson park na Adrian kitakachotupata mtu asiniulize
Subiri wenye Liverpool yao watakuja kukuambia, hakuna kipa anayeweza kukubali kuja kuwa backup ya Alison, so tukomae tu na Adrian!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom