Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,372
- 12,529
Yeah MazoeziniMazoezini siyo?
Yeah MazoeziniMazoezini siyo?
Itapendeza pia mkuuNi injury au corona?
Ameitwa timu ya Taifa, isije kuwa kuna ujanja wa kutotaka aende.

Hapo golini tuna Martinez tuliwapiga Arsenal tumemchukua huyu naimani atachomoa michomo mingi game itaisha mbili kwa moja.Ollachuga Oc umeona kikosi cha Klopp? Thoe S. Mane hayupo ila leo hakuna mkeka utakaochanika. Jiandae kusikitika tu 😅😅View attachment 1589714
Half time hiyo hapo mnaenda 0-0 na mkirudi mnapigwa 😅😅Hapo golini tuna Martinez tuliwapiga Arsenal tumemchukua huyu naimani atachomoa michomo mingi game itaisha mbili kwa moja.
Tuna uhakika leo liverpool achomoki, hapo utajua kuwa ni muhimu kubaki darajani tu😎😎😎😎
Tuna uhakika leo AV tunapunguza point ..kama siyo kupata moja basi hupati kabisa.Uzuri baadae hukosi maneno ya ziada pale msimamo utakua unasoma
Liverpool pointi 12
Chelsea pointi 7
YNWA
Aha! Kumbe mtanange umeanza😂😂😂Half time hiyo hapo mnaenda 0-0 na mkirudi mnapigwa 😅😅
Haya ndugu baada ya mechi usitoke duki kama kawaida yako...Tuna uhakika leo AV tunapunguza point ..kama siyo kupata moja basi hupati kabisa.
Golini tuna Martinez mambo yatakwenda fureshi. 😎😎😎
Usiniambie kwamba tayari umeshalewaAha! Kumbe mtanange umeanza
Come on AV![]()



Jamaa anawenge sio la kawaida yaan hapo hajaelewa kitu .Usiniambie kwamba tayari umeshalewa![]()
Sawa Mganga Tambi TambiLiverpool mnapoteza hii gemu mtakuja kuniambia hapa....!
😂😂😂😂😂😂leo siku ya bwana.Usiniambie kwamba tayari umeshalewa![]()
Mna bahati mbayaSawa Mganga Tambi Tambi
Sisi tuko AstonVilla point tunabeba zote leo..Jamaa anawenge sio la kawaida yaan hapo hajaelewa kitu .
Hahahaha Leo mambo yanaweza kwenda kombo, Spurs akashinda, AV chama letu tukashinda.😂😂😂Niko Liverpool na sababu zangu na huyo Mr ni man Utd, na leo natamani Totten afungwe tu maana alinitolea Chelsea yangu kwenye ramani ya carabao bado sijapoa 😆
Leo mkeka hauchaniki, utaona.
Shabiki mandazi huyo Ollachuga Oc nimemchanganya na arsenane kaingia kingi.Usiniambie kwamba tayari umeshalewa![]()
DuhAllison out of today's game with injury .