Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mambo ya klopp kudharau makombe yalifanya tupate kombe moja mwaka jana

Huyu babu kuna muda anazingua sana
Lini alisema anadharau? Au wewe ni mwanafamilia wake kwahiyo umemsikia chumbani akisema hayo,

Tumewagonga,
 
Rhian deal to Blades

Liverpool to retain buy-back clause valid for three years and 15 per cent sell-on clause for 20-year-old striker

The buy-back clause is valid for the next three years.

All the best to the boy..

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Wewe jamaa na yule mwingine mnaonekana malimbukeni sana hamjazoea hivi vitu,mtakuwa ni mamluki mliohamia Liverpool,Big up Malafyale halisi tunaiona sasa
Bro najua maneno yangu yamekuumiza sana nina karibia mwaka wa 3 toka niwe hapa jf kwahiyo piga hesabu mwenyewe.

Kuna muda huwa nafkiri tambo na mambo kama haya kuna watu wanastahili ila sisi wengine tukifanya kesi ..

Sawa Liverpool halisi ndo nyie hakuna shida sisi wengine tutaondoka isiwe kesi
 
Bro najua maneno yangu yamekuumiza sana nina karibia mwaka wa 3 toka niwe hapa jf kwahiyo piga hesabu mwenyewe.

Kuna muda huwa nafkiri tambo na mambo kama haya kuna watu wanastahili ila sisi wengine tukifanya kesi ..

Sawa Liverpool halisi ndo nyie hakuna shida sisi wengine tutaondoka isiwe kesi

Hiyo picture...

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Rhian deal to Blades

Liverpool to retain buy-back clause valid for three years and 15 per cent sell-on clause for 20-year-old striker

The buy-back clause is valid for the next three years.

All the best to the boy..

YNWA

Nitafurahi kweli kama Shaqir naye akiuzwa, aende sehemu wanakohitaji service yake.
 
Wanivumilie nini? Yan ushabiki wangu mie ukutese mpaka useme nivumiliwe!! Ajabu hii

Tunza nguvu za kuja kubijishana jumapili mkishindwa kutoboa.
Sijawahi kuteseka na shabiki wa nailoni
Relax
 
Bro najua maneno yangu yamekuumiza sana nina karibia mwaka wa 3 toka niwe hapa jf kwahiyo piga hesabu mwenyewe.

Kuna muda huwa nafkiri tambo na mambo kama haya kuna watu wanastahili ila sisi wengine tukifanya kesi ..

Sawa Liverpool halisi ndo nyie hakuna shida sisi wengine tutaondoka isiwe kesi
Kinyonge sana
 
Nitafurahi kweli kama Shaqir naye akiuzwa, aende sehemu wanakohitaji service yake.
Ni kweli huyu Alpine Messi akiwa amepona sio bench warmer...

Hata kocha wake zamani Ottmar amemshauri ni muda sasa aodoke Liverpool...

Lazio na Sevila wanamhitaji, Liverpool wanakomaa £20m..

Ngoja tuone mpaka Jumatatu kama ofa itakua imekumbalika...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom