Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wana mitutu wa Jiji poleni sana..

Pointi 9 murwa kabisa..

Septemba imeisha vyema..

Gemu 3 vs Leeds, vs Chelsea na vs Arsenal kupata pointi 9 sio haba..

Hongera sana kwa vijana..

EPL Hakika inarejea nyumbani tena..

YNWA
Mkuu haya ni manati sio mtutu! Kuna kufungwa halafu kuna kudhalilika. Leo tumedhalilika.
 
3rd goal. Jota
1601326588441.gif
 
Kuna member moja fans wa asemanane nlimwambia hapa Liverpool cyo level za asemanane akaniambia Nina level zip? Pale England Kama vip nijiundie ligi yangu Sasa mkuu popote ulipo naomba nitumie namba zako nikutumie muamala mdogo please
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom