Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Arsenal forward line yao inaonekana bora kulinganisha na back line yetu. Any mistake tutaadhibiwa. Gomez amerudi kuchukua nafasi yake, dhidi ya Leeds yeye na kaka mkuu vvd walifanya makosa ya kizembe na kuruhusu magoli mawili.

Auba, Laca na Willian ni moja ya combo ninayoigopa kwa sasa pale epl. Wote ni wafungaji wazuri. Kukosekana kwa Alcatraza hata kwenye bench ni pigo kwetu.
Acha woga hao wanafunga kwao tuuu
 
Kitu ambacho sio cha kawaida mpaka sasa tumefanya only 1 mistake kwenye defence yetu ambayo imezaa goli.
Hii ni kuonesha kuwa kuna maboresho flani yamefanyika kwenye defence yetu.
 
Arteta tayari kuna kitu ameshakiotea kwa Klopp! Hivyo Klopp anapaswa kubadilisha approach kila anapokutana na Arteta.
 
Salah msimu huu kwanza na Moto tofauti na season iliyopita.
Kwenye magoli yote mawili amehusika kwenye build up.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom