zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,322
- 9,771
MalafyaleMtaje tu
Maana siku hizi hata mimi.nimepunguza kutembea humu maana naona hata wageni wetu wanaokuja humu hawajui soka
MalafyaleMtaje tu
Maana siku hizi hata mimi.nimepunguza kutembea humu maana naona hata wageni wetu wanaokuja humu hawajui soka
Kwani yule kocha ananini hawa wachezaji?Kiukweli Mzee Milner ameitumikia kwa mafanikio makubwa Timu ya Liverpool, ila kwasasa astaafu tu tena. Asisubiri kuja kuadhiriwa na Watoto.
That man is so exceptional.Maneno ya Klopp aliyowaambia Benchi lake la ufundi baada ya kufurahia Red Card ya Christensen“Are you crazy? We never ever do that, ok?”
Hahahaaa... Yule Hana madhara kabisaMalafyale
Game ya Jana needed protection of our defenceKwani yule kocha ananini hawa wachezaji?
Hafukuna wanao amini Hendo atakaa bench jana mshipa ulimbana ndomana katolewa
Hivi Milner wa nini na kuna Jones anatakiwa kuonyesha uwezo
Yatakayowakuta Arsenal nawahakikishieni ya Chelsea yatakuwa Madogo.


king unatutisha au sio , safari hii hatuji kinyonge hapo Anfiled
Njooni full mkeka msijetafuta visingizio mkuuking unatutisha au sio , safari hii hatuji kinyonge hapo Anfiled
Uwezo sina mashaka mkuu... Akisema Klopp hua sina tena maneno nabaki nyuma ya timu na kumsapoti..Dah.!.
TAA & Firmino warudi kwenye ubora wao.
Tupate 1 CB then tukutane Jan.
Captain Marvelous kop. Umemuona Thiago uliyekua unamashaka nae?? Jamaa hajawahi kukosea.
Hahaha kama kwa Hendo tunasema Klopp akishasema basi tuwe nyuma ya timu haha itakua kwa Thiago...Umebadili Gia angani 😂😂😂
Nakumbuka kuna siku ulitiririka na Stats hapa za kuonesha Thiago ni Bakayoko wa Kizungu 😁😁😁
Kwakweli tuta sacrifice mech ya carabao jtano , kwa sababu yenuNjooni full mkeka msijetafuta visingizio mkuu
Tutawaacha mtawale dimba la kati , tutavumilia , kisha tutawavizia kauntaHahaha kama kwa Hendo tunasema Klopp akishasema basi tuwe nyuma ya timu haha itakua kwa Thiago...
Kwa sasa ameshatua namsapoti ashumbulie ubingwa...
Jana ilikua rehearsal naamini ana mambo makubwa yanakuja,..
Mkuu DullyJr na Aaron Arsenal hakika watatusamehe Jumapili sioni wakitoka salama mbele ya ile MF ya jana...
In Klopp i trust....
Stat hukoooo nimezitupa kwenye dustin bin...
YNWA



Wow kumbe jamaa this was his dream move lol... Yaani katupenda mwenyewe of course working with Klopp is a dream come true kwa wengi...Bayern CEO Rummenigge on agreeing to sell Thiago to Liverpool..
" After a transfer was finalized, I saw Thiago in the parking spot waiting for me . He hugged me for 5 minutes , cried and thanked me for making it possible for him "
Just second after Mane got fouled by Christensen..View attachment 1575726
Mkuu kama Gomez hayupo sioni hio mipira ikipenya kaunta...Tutawaacha mtawale dimba la kati , tutavumilia , kisha tutawavizia kaunta![]()
king unatutisha au sio , safari hii hatuji kinyonge hapo Anfiled
Tutawaacha mtawale dimba la kati , tutavumilia , kisha tutawavizia kaunta![]()
Kabisa aisee ndo vile klop anajua kuwajaza morali..Wow kumbe jamaa this was his dream move lol... Yaani katupenda mwenyewe of course working with Klopp is a dream come true kwa wengi...
YNWA
HahahahManeno ya Klopp aliyowaambia Benchi lake la ufundi baada ya kufurahia Red Card ya Christensen“Are you crazy? We never ever do that, ok?”



Nimemsahau na KARIUS aka KEPA![]()