Mnahisi mtaweza kuwafunga Arsenal msimu huu?Liverpool Liverpool Liverpool Liverpool Liverpool Liverpool
Champion champion champion champion champion champion
Arsenane Mkuje mkuje na au wenu
. Kuna pingamizi lolote mkuu?Mnahisi mtaweza kuwafunga Arsenal msimu huu?
Hujui kwani?. Kuna pingamizi lolote mkuu?
Uzuri siku hazigandi. Wacha tusubiriHizi kelele zote nazimaliza Jumapili. Baada ya Jumapili jukwaa hili litakua mali yetu ARSENAL, THE GUNNERS. mnashindwa kuwafunga timu dhaifu kama Chelsea wakiwa kamili mnategemea mtatuweza sisi??? Tulichowafanya juzi kati tuta double . AUBAMEYANG ! AUBAMEYANG!
FT: Looser fools 1-3 ARSENAL
Mnahisi mtaweza kuwafunga Arsenal msimu huu?
Hizi kelele zote nazimaliza Jumapili. Baada ya Jumapili jukwaa hili litakua mali yetu ARSENAL, THE GUNNERS. mnashindwa kuwafunga timu dhaifu kama Chelsea wakiwa kamili mnategemea mtatuweza sisi??? Tulichowafanya juzi kati tuta double . AUBAMEYANG ! AUBAMEYANG!
FT: Looser fools 1-3 ARSENAL
)Exactly...Afrer a long time today i've seen Alonso playing again for liverpool
Ngoja siku ifike tuoneSisi hatuhisi bali tuna uhakika! Hakuna kocha aliye juu ya Klopp linapokuja suala la H2H.
Huyo Arteta asubiri Kiama chake tu.
Looserfools kutufunga Arsenal sahau hilo! Mtajuwa hamjui! Jumapili nawahakikishia mtakimbia wote humu na lawama zote mtamtupia Keita na Tako MinaminoSisi hatuhisi bali tuna uhakika! Hakuna kocha aliye juu ya Klopp linapokuja suala la H2H.
Huyo Arteta asubiri Kiama chake tu.
Kuna mwenzako jana alikuja hapa na maneno yake ya ovyo hovyo kama haya na kuahidi akifungwa atajipiga burn mpaka mzuko wa kwanza wa ligi uishe, uenda mpaka sasa atakuwa anahala huko ChugaLooserfools kutufunga Arsenal sahau hilo! Mtajuwa hamjui! Jumapili nawahakikishia mtakimbia wote humu na lawama zote mtamtupia Keita na Tako Minamino
Ollachuga ni kichwa cha Mwendawazimu. Amesahau Chelsea ni kama Namungo Fc tu! Sisi Arsenal tunajua namna ya kukushikisha adabu.Kuna mwenzako jana alikuja hapa na maneno yake ya ovyo hovyo kama haya na kuahidi akifungwa atajipiga burn mpaka mzuko wa kwanza wa ligi uishe, uenda mpaka sasa atakuwa anahala huko Chuga



na sisi bila hiyana tumelipokea jukwaa na sasa linaitwa "ARSENAL SPECIAL THREAD 2" tunataka jumapili na hili pia liwe jukwaa letu namba3Shaqir na Chambo wote wapo hoi kwa dokta sioni wakiuzwa ndugu...Milner ingawa alipewa 2years lakini huu ndo msimu wake wa mwisho. Mwakani anaenda Leeds United au Aston villa au hata Newcastle timu zake Za zamani.
Tutegemee hawa labda wakauzwa kabla dirisha halijafungwa.
OX chambo
Grujic
Wilson
Woodburn
Shaqiri
GINI kama kweli koeman anataka.
Brewster au Origi ila hawezi kuuza wote. Mmoja ndo atauzwa na likely Brewster.
Kwahiyo Kuna kama £100 iko njiani kuingia kwa hayo mauzo
Mkuu hapo tupo wote kwa kweli Auba anatisha sio straika mwepesi na sasa yupo kwenye moto...Fabinho akipiga CB basi Auba anageuzwa Werner.
Niwe mkweli sijawahi kumuogopa Striker kama ninavyomuogopa Auba na Ndiyo Siri ya kila ushindi wenu.
Kwa Gomez huwa anamuoneaga sana ila kuna Kiumbe anaitwa Fabinho alimfanya Werner aonekane Molinga 😂😂😂
Yaaani sijui anasubiri kuodoka lini hata bure kama Super Mario...Hivi Karius ndiyo hakuna Timu inayomtaka?
Kepa na ile price tag yake jamaa walipigwa...Nimemsahau na KARIUS aka KEPA![]()