Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yes dogo anajiamini kuwa anaweza kukiamsha EPL so anataka timu Za epl sio mkopo wa championship.
Ndo maana wa nataka kumuuza lakini kuwe na kipengele cha kumnunua tena baadae. Kwa bei wanatakayoweka Liverpool.
Kama atakua injury free basi huyu msimu 2022-2023 utamuona tena Anfield na jezi namba 9 inamhusu...

Sheffield United panamfaa... Aston Villa washamnasa Watkins..

YNWA
 
Mkuu umeelewa nilichoandika hapo kweli?

Ipo hivi Rhian kwetu ni raw talent kabisa hivyo nimesema nilitarajia apewe nafasi hapa hapa atimize ndoto yake...

Nikasema pia yatatukuta ya Sacho, unafahamu Sacho wakati anaodoka Citizens hakua proven kama alivyo sasa.. Hili linaweza kutokea kwa Rhian kwani bila majeruhi anaonyesha dalili zipo atakuja kua moto..

Uwezo wa Greenwood, Mason au Foden bila kupewa nafasi Team A unadhani tungewajua aje kama kiwango..

YNWA
Utakua hujanielewa na mimi pia Sancho ana umli gani anang'ara tayali huyo brewster anamsubili nani?
Jones nafasi kaipataje?

Wachezaji wote wa vikosi vya chini hutegemewa kung'ara

Vipi kuhusu Glujic?
 
Utakua hujanielewa na mimi pia Sancho ana umli gani anang'ara tayali huyo brewster anamsubili nani?
Jones nafasi kaipataje?

Wachezaji wote wa vikosi vya chini hutegemewa kung'ara

Vipi kuhusu Glujic?
Lini huyu dogo alipewa nafasi kikosini akiwa mzima wa afya?

Alikwenda Swansea kwa mkopo January 2020 katika mechi 22 katupia goli 11 sio haba ndugu..

Na huyo Grujic nae lini alikaa klabuni msimu mzima.. Ni mkopo baada ya mkopo..

Wapewe nafasi kama TAA, Rashford, Kane nk tuwaone kama wamo ama hamna..

YNWA
 
Lini huyu dogo alipewa nafasi kikosini akiwa mzima wa afya?

Alikwenda Swansea kwa mkopo January 2020 katika mechi 22 katupia goli 11 sio haba ndugu..

Na huyo Grujic nae lini alikaa klabuni msimu mzima.. Ni mkopo baada ya mkopo..

Wapewe nafasi kama TAA, Rashford, Kane nk tuwaone kama wamo ama hamna..

YNWA
Ngoja nirudie tena

Unazani kwa nini hapewi nafasi kama hao ulo wataja?
 
Ngoja nirudie tena

Unazani kwa nini hapewi nafasi kama hao ulo wataja?
Klopp sio mtu wa ku develop academy graduates hata siku moja

Tokea mwaka 2015 anafika niambie ka develop our academy graduates wangapi kama sio mmoja ambae ni Trent?

Cheki Chelsea, Arsenal,United, Spurs

Nikikuanzia Chelsea kuna Christensen kuna Loftus-Cheek kuna Odoi na wengi

Arsenal kuna madogo wengi usipime wamefanyiwa promotion baada ya kugraduate Academy nikiwataja wachache Niles,Saka,Nketiah, Willock, Nelson etc

Spurs pale kuna Tanganga kuna Walker ,Walker peters, Kane, Winks, Skipp, sijui nani nani huko yaani wengi

Our Archrivals Kuna Rashford, McTominay,Perreira, Lingard, Greenwood, Fosumensah,Brandon, Henderson etc

Sisi hapa yuko Trent tu na yawezekana huyo Curtis msimu akaishia kuchezea U-23 huko

That's the dark side of our German gaffer
 
Mimi roho yangu itasuuzika endapo Klopp atamnunua Patson daka yule mzambia anayekipiga Salzburg kiukweli jamaa ni machine sana, japo ndio zipo tetesi kuwa anaweza kutua anfield.
 
Klopp sio mtu wa ku develop academy graduates hata siku moja

Tokea mwaka 2015 anafika niambie ka develop our academy graduates wangapi kama sio mmoja ambae ni Trent?

Cheki Chelsea, Arsenal,United, Spurs

Nikikuanzia Chelsea kuna Christensen kuna Loftus-Cheek kuna Odoi na wengi

Arsenal kuna madogo wengi usipime wamefanyiwa promotion baada ya kugraduate Academy nikiwataja wachache Niles,Saka,Nketiah, Willock, Nelson etc

Spurs pale kuna Tanganga kuna Walker ,Walker peters, Kane, Winks, Skipp, sijui nani nani huko yaani wengi

Our Archrivals Kuna Rashford, McTominay,Perreira, Lingard, Greenwood, Fosumensah,Brandon, Henderson etc

Sisi hapa yuko Trent tu na yawezekana huyo Curtis msimu akaishia kuchezea U-23 huko

That's the dark side of our German gaffer
Sasa sijui jamaa kalishindwaje hili swali ha haaa

Au anaogopa kusema Clopp ndo tatizo?

Dakika ya 80 tunaongoza nne anamsimamisha Milner ha ha haa
 
Na pale dogo ambae tutajuta ni Harry Wilson maana umri unamtupa mkono

Klopp huwa hataki hasikii habari za kuinua wahitimu wetu
Hata humu kuna watu hawataki kusikia hizo habali za chipukizi wanataka proven player Liver sio tim ya majaribio sijui akademi za nini?
 
Hata humu kuna watu hawataki kusikia hizo habali za chipukizi wanataka proven player Liver sio tim ya majaribio sijui akademi za nini?

Klopp anazingua

Hapa Bajeti ya sokoni tu tunapitwa na timu kubwa zote hadi Everton

Aston Villa wenyewe wanatupita kama tukisample haya madirisha mawili
 
Na pale dogo ambae tutajuta ni Harry Wilson maana umri unamtupa mkono

Klopp huwa hataki hasikii habari za kuinua wahitimu wetu
Ishu ni pale sasa hanunui na hawa wa academy nao hawatakiwi wamechoka kupelekwa kwa mkopo huku na kule...

Huyu Milner alitakiwa aachiwe mazima Leeds wangemchukua ndio nafasi za akina Wilson, Jones nk zipatikane...

Bora Kent, Camacho, Chirvela, Suso walishachomoka zao mapemaaa...


YNWA
 
Ishu ni pale sasa hanunui na hawa wa academy nao hawatakiwi wamechoka kupelekwa kwa mkopo huku na kule...

Huyu Milner alitakiwa aachiwe mazima Leeds wangemchukua ndio nafasi za akina Wilson, Jones nk zipatikane...

Bora Kent, Camacho, Chirvela, Suso walishachomoka zao mapemaaa...


YNWA
Kuna mambo kocha anatuangusha
 
Adjustments.jpg
 
Ishu ni pale sasa hanunui na hawa wa academy nao hawatakiwi wamechoka kupelekwa kwa mkopo huku na kule...

Huyu Milner alitakiwa aachiwe mazima Leeds wangemchukua ndio nafasi za akina Wilson, Jones nk zipatikane...

Bora Kent, Camacho, Chirvela, Suso walishachomoka zao mapemaaa...


YNWA
hii timu yetu kwenye eneo la kuwapandisha wachezaji wa academy naona kuna shida sana aiseee.......

unamkumbuka Jordan Rossiter, Connor Randall?............ yani kuna wakati unashangaa tu kwanini wakocha wanabaki na kina Moreno kisha wanawatoa hao madogo!


kwa sasa looks like njia ile ile ya Rossiter anaiendea Brewster,......... then unajiuliza where is Ben woodburn? mbona utd wanaendelea na kina Jlingz, and ofcourse rashford (mana nae ni walewale tu).......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom