Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
FSG ni ngumu kuwaelewa...so its wilson, woodburn and brewster out then, huh?.................
aisee hawa vijana ndio walikua wanaleta matumaini,.....so sad!
Yaani wao wakionaga ela hua vichwa vinahama...
Wenzetu mchezaji akishafika 30yrs hapewi mkataba zaidi ya miaka 2 ila sasa hapa kwetu tunakomaa na Babu Milner and crew lol huku tukiwaachia akina Rhian waodoke...
YNWA