Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Binafsi bado nina matumaini makubwa sana na vijana wangu, hope hawataniangusha, wataamka tu kwa sababu bado wana kiu ya mafanikio, ligi itakapoanza tutashangaa kabisa kama kweli hii ndiyo liverpool iloyokuwa inafungwa na arsenal kwenye ngao
 
Adjustments.jpg
 
..........and that was 2019......... what happened?
New CEO billy Hogan baada ya kuteuliwa alisema atatoa support kwa klopp na edward kwenye hii transfer market. Watu wakachimbua hiyo ya boss sema hazijakaa sehemu mmoja nilitaka ziendane ishu ya network.
 
..........and that was 2019......... what happened?
New CEO billy Hogan baada ya kuteuliwa alisema atatoa support kwa klopp na edward kwenye hii transfer market. Watu wakachimbua hiyo ya boss sema hazijakaa sehemu mmoja nilitaka ziendane ishu ya network.
 
Haki ya mungu napata kihoro nikiona timu ndogo kama Everton wanakuwa wanasajili kama wana hela kutuzidi
Hawa wamiliki wetu mi nadhani wanaishi kwa ku kopi na pasti si bure yaaani kwa vile dirisha kama 3 zimepita bila kusajili na bado wakapata makombe makubwa kabisa basi wanaona kumbe tuna kukosi cha kushindana mwanzo mwisho bila kujua kuja wear and tear ya wachezaji na umri unasogea...

Na wana bahati kwa vile Klopp sio kocha wa mdomo kivileee...

Kwa kweli ikifika October 5 dirisha likafungwo basi hapo ndio nitajua tumepatikana mazimaa...

YNWA
 
Hawa wamiliki wetu mi nadhani wanaishi kwa ku kopi na pasti si bure yaaani kwa vile dirisha kama 3 zimepita bila kusajili na bado wakapata makombe makubwa kabisa basi wanaona kumbe tuna kukosi cha kushindana mwanzo mwisho bila kujua kuja wear and tear ya wachezaji na umri unasogea...

Na wana bahati kwa vile Klopp sio kocha wa mdomo kivileee...

Kwa kweli ikifika October 5 dirisha likafungwo basi hapo ndio nitajua tumepatikana mazimaa...

YNWA
Nachojua watasajili.
Ila kwa nini watupe presha kubwa hivi??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom