Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Naona ombi lake limesikilizwa Messi anabaki Catalunya
Andy Robertson juu ya Messi kucheza EPL

"Nimecheza dhidi yake mara mbili na ni mechi ngumu sana ambazo nimewahi kucheza, unahitaji kukaa macho dhidi yake kila wakati, anaweza kutokea ghafla na akafanya chochote.

"natumai ataendelea kubaki Uhispania."


 
kwa huu usajili wa Chelsea kama wataclick mapema aiseee tukimaliza top 2 itakua bahati sanaaaaaaaaa...............
Hili jambo mimi tangu juzi nalikemea!

Jamaani.. Huyu chelshishi sijui anawatisha nini. Yani kwa hizi sajili ndio umpe ubingwa?

Ile timu itakuwa vile vile kwa msimu huu, labda wabadili kocha ndo wataweza kupigania ubingwa kwa misimu ijayo.

Mpaka sasa, timu yenye nafasi nzuri bila ya kuweka ushabiki ni Man City na Liverpool kwa mbaali..

Hao Chelsea mtaendelea kuwaona kwenye nafasi ya 4 kwenye msimu huu pia.

Ni kiasi cha muda tu!
 
Hili jambo mimi tangu juzi nalikemea!

Jamaani.. Huyu chelshishi sijui anawatisha nini. Yani kwa hizi sajili ndio umpe ubingwa?

Ile timu itakuwa vile vile kwa msimu huu, labda wabadili kocha ndo wataweza kupigania ubingwa kwa misimu ijayo.

Mpaka sasa, timu yenye nafasi nzuri bila ya kuweka ushabiki ni Man City na Liverpool kwa mbaali..

Hao Chelsea mtaendelea kuwaona kwenye nafasi ya 4 kwenye msimu huu pia.

Ni kiasi cha muda tu!
Hahahaha angalia uyu takataka

Na uhakika hapo Arse8 Auba atakuwa beki pia.
JamiiForums1470447206.jpg


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha angalia uyu takataka

Na uhakika hapo Arse8 Auba atakuwa beki pia.View attachment 1559167

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kwa kifupi hapo sioni mchezaji wa kutisha..
Sioni tofauti ya kikosi chenu na kikosi cha msimu ulioisha.

Mount ni bora kumshinda huyo Havertz.

Willian alikuwa na skills nyingi za kusaidia kupatikana magoli kuliko huyo Ziyech.

Kuhusu Werner huwa nasema kila siku, ni Morata aliechangamka. Bora kidogo Giroud atawapatia magoli ya vichwa.

Huyo T. Silva nadhani hajawahi kukutana na Sterling mzee wa kijiangusha.
Kwa kifupi hana utofauti na Zouma.
 
Kwa kifupi hapo sioni mchezaji wa kutisha..
Sioni tofauti ya kikosi chenu na kikosi cha msimu ulioisha.

Mount ni bora kumshinda huyo Havertz.

Willian alikuwa na skills nyingi za kusaidia kupatikana magoli kuliko huyo Ziyech.

Kuhusu Werner huwa nasema kila siku, ni Morata aliechangamka. Bora kidogo Giroud atawapatia magoli ya vichwa.

Huyo T. Silva nadhani hajawahi kukutana na Sterling mzee wa kijiangusha.
Kwa kifupi hana utofauti na Zouma.
Hakuna mchezaji wa kijerumani aliyewahi kufeli Chelsea..
Tena kipindi hiki beki soft soft kama Luiz mtazungushwa sana viuno

Iyo tofauti utaiyona ngoja msimu uanze mkuu.

Pigaaaa mbuziiiii haoooooo

#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mchezaji wa kijerumani aliyewahi kufeli Chelsea..
Tena kipindi hiki beki soft soft kama Luiz mtazungushwa sana viuno

Iyo tofauti utaiyona ngoja msimu uanze mkuu.

Pigaaaa mbuziiiii haoooooo

#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hivi Marco Marin alikuwa ni raia wa wapi vile?
Em nikumbushe huenda nikawa nimesahau
 
kwa huu usajili wa Chelsea kama wataclick mapema aiseee tukimaliza top 2 itakua bahati sanaaaaaaaaa...............

Chelse kwa usajili waliofanya ni Timu nziri lakini Lampard bado hajawa kocha wa kuweza kuwatumia wale Wachezaji.
Hivyo sio rahisi kuweza kuwa hata Title Contender.
To be honest OGS anaweza kumaliza Ligi juu ya Chelsea.
Bora Arteta iwapo atapatiwa Wachezaji wa ushindani kama aliyopatiwa Lampard basi anaweza kuwa Title Contender kwani amepata much experience under Guardiola unlike Lampard aliyevamia ukocha from nowhere.
 
Kikosi kizima Cha Liverpool (Senior Squad) msimu wa 2020/21 kina Wachezaji 19 tu.

Makipa:
Alisson
Adrian

Mabeki:
TAA
Gomez
Matip
VVD
Robbo
Tsimikas

Midos:
Hendo
Gini
Keita
Milner
Ox
Fabinho

Washambuliaji:
Salah
Mane
Bobby
Minamino
Original

Wachezaji ambao Msaada wao ni Mdogo kabisa (Prone injuries):
Matip
Keita
OX

Wachezaji ambao Msaada wao ni wa kubahatisha:
Origi
Milner
Adrian

Wachezaji ambao bado hawajawa proved viwango vyao:
Tsimikas
Minamino

Mpaka hapa ukweli ni kwamba tuna wachezaji 11 tu ambao ni Proved kwa kuwatumia msimu mzima wa 2020/21

1) Alison
2) TAA
3) GOMEZ
4) VVD
5) ROBBO
6) FABINHO
7) HENDERSON
8) GINI
9) SALAH
10) MANE
11) BOBBY

Yah! Klopp is not Fan wa Big squad, hence Lampard, OGS and Pep are stupids.
 
Kikosi kizima Cha Liverpool (Senior Squad) msimu wa 2020/21 kina Wachezaji 19 tu.

Makipa:
Alisson
Adrian

Mabeki:
TAA
Gomez
Matip
VVD
Robbo
Tsimikas

Midos:
Hendo
Gini
Keita
Milner
Ox
Fabinho

Washambuliaji:
Salah
Mane
Bobby
Minamino
Original

Wachezaji ambao Msaada wao ni Mdogo kabisa (Prone injuries):
Matip
Keita
OX

Wachezaji ambao Msaada wao ni wa kubahatisha:
Origi
Milner
Adrian

Wachezaji ambao bado hawajawa proved viwango vyao:
Tsimikas
Minamino

Mpaka hapa ukweli ni kwamba tuna wachezaji 11 tu ambao ni Proved kwa kuwatumia msimu mzima wa 2020/21

1) Alison
2) TAA
3) GOMEZ
4) VVD
5) ROBBO
6) FABINHO
7) HENDERSON
8) GINI
9) SALAH
10) MANE
11) BOBBY

Yah! Klopp is not Fan wa Big squad, hence Lampard, OGS and Pep are stupids.

Wewe hujui mpira, umekaa huko Mabwepande unamponda kocha aliyetupa UEFA na EPL.

Nani hayaogopi majogoo?
 
Kwa kifupi hapo sioni mchezaji wa kutisha..
Sioni tofauti ya kikosi chenu na kikosi cha msimu ulioisha.

Mount ni bora kumshinda huyo Havertz.

Willian alikuwa na skills nyingi za kusaidia kupatikana magoli kuliko huyo Ziyech.

Kuhusu Werner huwa nasema kila siku, ni Morata aliechangamka. Bora kidogo Giroud atawapatia magoli ya vichwa.

Huyo T. Silva nadhani hajawahi kukutana na Sterling mzee wa kijiangusha.
Kwa kifupi hana utofauti na Zouma.
Hawa hawaelewi, sijuzi wamecheza na Brighton,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom