Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mwaka huu liverpool top 4 mtaitafuta bila mafanikio

Man city
Man u
Chelsea
Arsenal
Spurs
Liverpool

.
.
.
.
.
West brown
Mkuu Pain killer hata msimu uliopita hatakua favourites mbali tulikua contenders na bila shaka msimamo unao mambo yalivyoisha...

Msimu mpya pia hao ma bookies watuweke wanakotaka ila mpaka ligi inaisha tutaelewana tu...

Ushauri wangu kua maneno ya akiba ndugu...

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Barca ndo wamechoka kiasi hiki kweli!

Ilibidi nicheke tu 😂😂

Sio siri kuna Watu wanaamini tuna mabonge ya Wachezaji! Kumbe ni uchawi wa Klopp tu ndiyo unaofanya kazi.
Naamini 2024 Klopp akimaliza Mkataba atagombaniwa kama Papuchi na Timu zote Duniani 😂😂

Hope aende popote lakini sio Manure! Aisee bora hata tumuuwe kuliko kwenda Manure.
 
Ilibidi nicheke tu

Sio siri kuna Watu wanaamini tuna mabonge ya Wachezaji! Kumbe ni uchawi wa Klopp tu ndiyo unaofanya kazi.
Naamini 2024 Klopp akimaliza Mkataba atagombaniwa kama Papuchi na Timu zote Duniani

Hope aende popote lakini sio Manure! Aisee bora hata tumuuwe kuliko kwenda Manure.

Me nahamini klopp ataongeza tu mkataba mwingine hawezi kuondoka. Klopp tulionesha kumjali sana na kumuamini maana alivyokuja Alipewa mkataba wa miaka 6 sizani kama kuna kocha anaweza kupewa mkataba wa muda mrefu kama yeye alivyopewa .

Alikataa kwenda Man U nakuja Liverpool licha ya kwamba tutamlipa hela kidogo na licha ya kwamba liverpool kuonekana kukosa mafanikio kwa muda mrefu lakini yeye aliamua kuja hivyo hivyo.

Kusema anaondoka ata alivyokuja alisema hivyo hivyo muda ilivyofika akaongeza muda.

Klopp kuondoka liverpool mpaka aache kufundisha mpira,kama Ferguson vile.

Na kwa sasa hakuna timu inayotusumbua kiasi kwamba kumfanya klopp akose makombe aondoke.timu ilivyo kwa Sasa kila msimu tunauwakika wa kuchukua kikombe kimoja.

Kila timu inamtaka kwa sasa Klopp ,ila tuJitahidi kumuongezea mshahara tu,klopp anakuja kustafia liverpool pale.
 
Me nahamini klopp ataongeza tu mkataba mwingine hawezi kuondoka. Klopp tulionesha kumjali sana na kumuamini maana alivyokuja Alipewa mkataba wa miaka 6 sizani kama kuna kocha anaweza kupewa mkataba wa muda mrefu kama yeye alivyopewa .

Alikataa kwenda Man U nakuja Liverpool licha ya kwamba tutamlipa hela kidogo na licha ya kwamba liverpool kuonekana kukosa mafanikio kwa muda mrefu lakini yeye aliamua kuja hivyo hivyo.

Kusema anaondoka ata alivyokuja alisema hivyo hivyo muda ilivyofika akaongeza muda.

Klopp kuondoka liverpool mpaka aache kufundisha mpira,kama Ferguson vile.

Na kwa sasa hakuna timu inayotusumbua kiasi kwamba kumfanya klopp akose makombe aondoke.timu ilivyo kwa Sasa kila msimu tunauwakika wa kuchukua kikombe kimoja.

Kila timu inamtaka kwa sasa Klopp ,ila tuJitahidi kumuongezea mshahara tu,klopp anakuja kustafia liverpool pale.

Natamani sana iwe kama hivi, ila kwa modern football hili swala ni gumu sana kutokea, I mean yeye kustafia Liverpool.

Performance ya miaka hii mitatu itaweza kudetermine kama anaondoka au la, kama timu ikiwa kwenye peak mpaka muda huo, ataendelea kuwepo.

Otherwise ni ngumu.
 
Me nahamini klopp ataongeza tu mkataba mwingine hawezi kuondoka. Klopp tulionesha kumjali sana na kumuamini maana alivyokuja Alipewa mkataba wa miaka 6 sizani kama kuna kocha anaweza kupewa mkataba wa muda mrefu kama yeye alivyopewa .

Alikataa kwenda Man U nakuja Liverpool licha ya kwamba tutamlipa hela kidogo na licha ya kwamba liverpool kuonekana kukosa mafanikio kwa muda mrefu lakini yeye aliamua kuja hivyo hivyo.

Kusema anaondoka ata alivyokuja alisema hivyo hivyo muda ilivyofika akaongeza muda.

Klopp kuondoka liverpool mpaka aache kufundisha mpira,kama Ferguson vile.

Na kwa sasa hakuna timu inayotusumbua kiasi kwamba kumfanya klopp akose makombe aondoke.timu ilivyo kwa Sasa kila msimu tunauwakika wa kuchukua kikombe kimoja.

Kila timu inamtaka kwa sasa Klopp ,ila tuJitahidi kumuongezea mshahara tu,klopp anakuja kustafia liverpool pale.
bora aondoke tu kwa sasa yeye ndio anayesababisha tusisajiri wachezaji wakubwa maana hawapi timbwili timbwili mabosi wake,huu msimu tutapotena vibaya sana kama hatutasajili wachezaji wetu wamechoka tunabebwa tu na mgongo wa klopp na ile spirit ya liverpool.
 
bora aondoke tu kwa sasa yeye ndio anayesababisha tusisajiri wachezaji wakubwa maana hawapi timbwili timbwili mabosi wake,huu msimu tutapotena vibaya sana kama hatutasajili wachezaji wetu wamechoka tunabebwa tu na mgongo wa klopp na ile spirit ya liverpool.
Hivi kuna umuhimu gani wa kusajili majina makubwa na yakaja kuzingua bila kupata taji hata moja? Klopp ni masterclass ww hawezi chukua mtu bila kujua anakuja kumtumia vp.....hebu acheni longolongo bana afanye kazi yake kama kocha. Binafsi sina cha kumdai Klopp kutokana na timu alipoitoa na mpaka sasa ilipo.. Na kasema lazima asajili watu wawil yaani kiungo pamoja na mshambuliaji. So ni suala la kusubiri sio kulalamika bila kuwa na facts zozote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom