Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
True kaka msimu uliopita we were the luckiest team EPL wakati wengine walipoteana..I am telling you, we will not get there, kwa UEFA hatutaweza.
Timu tuliyokuwa nayo this time ungeweza kusema ni timu bora ya wakati wote, lakini tunakumbuka performance yake UEFA kwenye makundi tunafungwa ovyo, tuna draw kizembe zembe. Tatizo ni kwamba EPL had poor teams this season, ndiyo maana hata aliyekuwa mpinzani wetu City katolewa kizembe kama tulivyotoka sisi, Chelsea na Tottenham same same tena kwa aibu.
UEFA haihitaji ujanja ujanja, lazima tuwe na timu kama tunataka kufanya vizuri kwenye hiyo avenue. Tuna kila sababu ya kuwa katika level hiyo, kifedha timu iko vizuri, tuna kocha bora sana kwa kipindi hiki, tuko katika level amabyo hakuna mchezaji anayeweza kutukataa, tuna Nike as our sponsor.
Huu ulitakiwa uwe ni wakati wetu.
We are supposed to build from our triumph sio the other way round..
Our main players are almost 27yrs+ na hio ni red light yasitukute kama haya ya Barcelona with panic buying and aging squad kama Juve...proper planning and wide scouting is necessary but its useless if the main target are bypassed because of the costs and to choose 3rd or 4th target..
Our UCL elimination was supposed to send a clear picture to the owners how this transfer window should be conducted..
I hate to be pessimistic on this man.. But the signs are kind of zigzag..
YNWA


