2004 mkuu nilikuwa na miaka 9+ ivyo naifahamu Chelsea vilivyo naweza kukutajia kikosi chote cha wakati huo ambacho kilileta mapinduzi makubwa kiasi Kwamba kiliweza kubeba ligi mara mbili na kuingia fainal 2008 na man u ..ivyo nikumbushe iyo game mkuu..
#CFC
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
AhahahahSawa sawa.
Mimi pia naweza kukutajia kikosi cha Sweden kilichoingia Fainali mwaka 1958, nikiwa bado sijazaliwa.
2004 mkuu nilikuwa na miaka 9+ ivyo naifahamu Chelsea vilivyo naweza kukutajia kikosi chote cha wakati huo ambacho kilileta mapinduzi makubwa kiasi Kwamba kiliweza kubeba ligi mara mbili na kuingia fainal 2008 na man u ..ivyo nikumbushe iyo game mkuu..
#CFC
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Wewe dogo wacha uwongo, kuna mafile yako nimeona umezaliwa 19992004 mkuu nilikuwa na miaka 9+ ivyo naifahamu Chelsea vilivyo naweza kukutajia kikosi chote cha wakati huo ambacho kilileta mapinduzi makubwa kiasi Kwamba kiliweza kubeba ligi mara mbili na kuingia fainal 2008 na man u ..ivyo nikumbushe iyo game mkuu..
#CFC
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app

hiyo miaka 9+ uliipata wapi?Anamjua kwanza? Huyu hata ukimtajia kizazi cha kina Damian Duff na hawajui,....Didier Dischamps alikuwa anavaa Jezi namba ngapi?




Hakuna mashabiki wenye matusi plus kauli chafu Kama mashabiki wa Liverpool,sema tu msimu huu umewaendea vizuri ndiyo maana wanajifanya wastarabu.Atleast jukwaa hili na lile la Arsenal mashabiki wake wanauelewa mpira.
Yani mpira mpira unachambuliwa mpaka raha!
Huko kwengine kwa Manyumbu na Chelshishi ni kuongea utumbo tu, kila mtu anaongea lake.
Hongereni sana, nitakuwa napitapita na comments zenu wakuu.
Anamjua kwanza? Huyu hata ukimtajia kizazi cha kina Damian Duff na hawajui,....
Ila anamjua FRANCISCA ZOLA![]()
Leo kuna goli 10 Bro, naona utabiri wako safari hii umedunda nyavuHawana lolote wale! Wasingefungwa na Chelsea na Intermilan kwenye Final Timu ambazo hazina DNA ya CL

Halafu wanatukanaga kwa kimomboHakuna mashabiki wenye matusi plus kauli chafu Kama mashabiki wa Liverpool,sema tu msimu huu umewaendea vizuri ndiyo maana wanajifanya wastarabu.





Dah ngoja nika google mkuu.Didier Dischamps alikuwa anavaa Jezi namba ngapi?
Si ndio mkuu..wewe uko vizuri sanaSawa sawa.
Mimi pia naweza kukutajia kikosi cha Sweden kilichoingia Fainali mwaka 1958, nikiwa bado sijazaliwa.
ahahahah dah wewe jamaa bhana
Unaeza kuta sentens imejaa f*ck f*ck za kutosha. Unajua apa dah nishaporomoshewa tayariahahahah dah wewe jamaa bhana



