Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

city naona wamepaniki sana, it was the only realistic chance ya wao kugusa japo semi kwenye CL....... dont think wana nafasi nyingine huko mbele maana next season timu zitakua on fire

Next season Liverpool tunarejea wenyewe kwenye Ulingo, waliobahatisha mara hii kufika nusu basi wajitahidi walibebe kwani ndiyo nafasi yao hii!

Mara ya mwisho kutokea Vituko kama hivi ni 2004, ni miaka 16 sasa.
Wajipange miaka mengine mengi mbeleni ndiyo watakuja kupata tena nafasi kama hii.
 
Next season Liverpool tunarejea wenyewe kwenye Ulingo, waliobahatisha mara hii kufika nusu basi wajitahidi walibebe kwani ndiyo nafasi yao hii!

Mara ya mwisho kutokea Vituko kama hivi ni 2004, ni miaka 16 sasa.
Wajipange miaka mengine mengi mbeleni ndiyo watakuja kupata tena nafasi kama hii.

Nakumbuka game zile kina Morientes wanakiwasha, wanamtoa Chelsea kwa 3 bila.

Noma sana.
 
Nilijua kachekwa na wachezaji, kumbe washabiki!

Washabiki kazi zao kuu ni mbili, kushangilia na kuzomea.

Anatakiwa alijue hilo.
Seems Lyon loss has damn affected them big time kiasi hata Pep wanawasiwasi atawakimbia...

Shinda walijiamini kwa vile walikua all major bets favourite kulitwaa hili kombe basi watawapiga Lyon kumbe bwana Garcia had other plans in store...

Wawe wandogo wajipange upya ama next season hata hizo Mickey Cups wanaweza watazikosa

YNWA
 
Seems Lyon loss has damn affected them big time kiasi hata Pep wanawasiwasi atawakimbia...

Shinda walijiamini kwa vile walikua all major bets favourite kulitwaa hili kombe basi watawapiga Lyon kumbe bwana Garcia had other plans in store...

Wawe wandogo wajipange upya ama next season hata hizo Mickey Cups wanaweza watazikosa

YNWA

Ni tough loss man, afadhali ukifungwa na power house unasema it was 50 50.

Time is flying, na sioni kama kuna njia yoyote anayoweza kujieleza awa convince waajiri wake kwamba he can do it.

Nina uhakika hana misimu zaidi ya 2 sasa hivi.

Something to remember, Barca is so calling.
 
Ivi unakuwaje na mchezaji kama Bernardo Silver na Riyad Mahrez wakakosa namba kikosi cha kwanza?

Nakumbuka last season Bernardo alikuwa one of the best player in EPL lakini PEP ameshindwa kumuamini!

Kichwani kwa PEP kuna kitu hakijakaa sawa! Sishangai kutolewa kirahisi kwenye CL.
 
Ivi unakuwaje na mchezaji kama Bernardo Silver na Riyad Mahrez wakakosa namba kikosi cha kwanza?

Nakumbuka last season Bernardo alikuwa one of the best player in EPL lakini PEP ameshindwa kumuamini!

Kichwani kwa PEP kuna kitu hakijakaa sawa! Sishangai kutolewa kirahisi kwenye CL.

Standards anazoziweka Pep kwa wachezaji wake nadhani ni za juu sana.

Mimi nilichoka kuna siku Sterling alifunga goli lakini Pep akamind kwamba hakutaka acheze vile alivyocheza.
 
Adjustments.jpg
 
Seems Lyon loss has damn affected them big time kiasi hata Pep wanawasiwasi atawakimbia...

Shinda walijiamini kwa vile walikua all major bets favourite kulitwaa hili kombe basi watawapiga Lyon kumbe bwana Garcia had other plans in store...

Wawe wandogo wajipange upya ama next season hata hizo Mickey Cups wanaweza watazikosa

YNWA

Lazima wachezaji wawe frustrated kwa kilichotokea kwani Msimu huu ndiyo iliyokuwa nafasi yao pekee na rahisi zaidi kulibeba Kombe, Timu za Kiengereza zote ambazo kiuhalisia Man City hawaziwezi zilikwishatoka.
Barca out
Madrid out
Juventus out

Only Bayern ndiyo ilikuwa kikwazo kwao.

Sasa kuufikiria Msimu ujao wanahisi ni kuupanda Mlima ule Wa Morogoro unaoonekana pale Msamvu.
 
Standards anazoziweka Pep kwa wachezaji wake nadhani ni za juu sana.

Mimi nilichoka kuna siku Sterling alifunga goli lakini Pep akamind kwamba hakutaka acheze vile alivyocheza.

Kwenye ile game Guandoga na Jesus hawakupaswa kuanza na wala hakupaswa kuchezesha mfumo wa uoga wa 3-5-2. Alikuwa achezeshe 4-3-3 au 3-4-3.

Front Three ilikuwa iwe>
Bernardo - Sterling - Mahrez

Kwenye 3-4-3 kati aweke>
Cancelo-Rodri-KDB-Walker

Kwenye 4-3-3 kati aweke>
Cancelo- Rodri - KDB

Lakini jamaa mipango imekuwa mengi mpaka anajichanganya.
 
Atleast jukwaa hili na lile la Arsenal mashabiki wake wanauelewa mpira.

Yani mpira mpira unachambuliwa mpaka raha!

Huko kwengine kwa Manyumbu na Chelshishi ni kuongea utumbo tu, kila mtu anaongea lake.

Hongereni sana, nitakuwa napitapita na comments zenu wakuu.
 
Kwenye ile game Guandoga na Jesus hawakupaswa kuanza na wala hakupaswa kuchezesha mfumo wa yoga wa 3-5-2. Alikuwa achezeshe 4-3-3 au 3-4-3.

Front Three ilikuwa iwe>
Bernardo - Sterling - Mahrez

Kwenye 3-4-3 kati aweke>
Cancelo-Rodri-KDB-Walker

Kwenye 4-3-3 kati aweke>
Cancelo- Rodri - KDB

Lakini jamaa mipango imekuwa mengi mpaka anajichanganya.

Sterling alicheza sana, sema hakukuwa na mmaliziaji, wana tabia ya kupoteza chances nyingi sana.

Nadhani pengo la Aguero limekuwa gumu kuliziba.
 
Lazima wachezaji wawe frustrated kwa kilichotokea kwani Msimu huu ndiyo iliyokuwa nafasi yao pekee na rahisi zaidi kulibeba Kombe, Timu za Kiengereza zote ambazo kiuhalisia Man City hawaziwezi zilikwishatoka.
Barca out
Madrid out
Juventus out

Only Bayern ndiyo ilikuwa kikwazo kwao.

Sasa kuufikiria Msimu ujao wanahisi ni kuupanda Mlima ule Wa Morogoro unaoonekana pale Msamvu.
Yeah ukitazama ma big Kings wote walishatoka hakika hii ilikua golden chance kwao kutwaa hili kombe ila sasa wamechemka vimbaya...

Sasa tukutane nao msimu ujao tutaelewana...

YNWA
 
Nyie humu ndani vp, kocha wenu hataki kusajili eeeh... Haya hahahaaa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom