Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nakumbuka last season walivomkosakosa Mtu kwa Madison [emoji23][emoji23][emoji23]

Lakini nina uhakika kati ya Manure na Chelsea lazima mmoja wapo atapigwa kwa Chillwel [emoji23][emoji23]

Lakini masihara mbali na Nyinyi mulikoswakoswa kupigwa kwa Thomas Lemar (£90M) na Wilfred Zaha (£75M) [emoji23][emoji23][emoji23]

Sijui Shetani gani nikamnyonge aliyewazindua Punda nyie [emoji23][emoji23]
wakanaswa kwa Pepe 72m[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakumbuka last season walivomkosakosa Mtu kwa Madison [emoji23][emoji23][emoji23]

Lakini nina uhakika kati ya Manure na Chelsea lazima mmoja wapo atapigwa kwa Chillwel [emoji23][emoji23]

Lakini masihara mbali na Nyinyi mulikoswakoswa kupigwa kwa Thomas Lemar (£90M) na Wilfred Zaha (£75M) [emoji23][emoji23][emoji23]

Sijui Shetani gani nikamnyonge aliyewazindua Punda nyie [emoji23][emoji23]

Thomas lemar msimu wa 2019/2020 umeisha ana 0 assist na 0 goal [emoji3]
Adjustments.jpg
 
Huyu Bernado ana nini kama hakutaka hao mashabiki wa Liverpool wamcheke wangekomaa watoke na ushindi sio kwenda kulialia Twitter as if mechi ilichezewa hukooo...

Whining cant win them anything.. Watulie sidano izameeee...


YNWA

Nilijua kachekwa na wachezaji, kumbe washabiki!

Washabiki kazi zao kuu ni mbili, kushangilia na kuzomea.

Anatakiwa alijue hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom