Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nakumbuka last season walivomkosakosa Mtu kwa Madison

Lakini nina uhakika kati ya Manure na Chelsea lazima mmoja wapo atapigwa kwa Chillwel

Lakini masihara mbali na Nyinyi mulikoswakoswa kupigwa kwa Thomas Lemar (£90M) na Wilfred Zaha (£75M)

Sijui Shetani gani nikamnyonge aliyewazindua Punda nyie
wakanaswa kwa Pepe 72m
 
Nakumbuka last season walivomkosakosa Mtu kwa Madison

Lakini nina uhakika kati ya Manure na Chelsea lazima mmoja wapo atapigwa kwa Chillwel

Lakini masihara mbali na Nyinyi mulikoswakoswa kupigwa kwa Thomas Lemar (£90M) na Wilfred Zaha (£75M)

Sijui Shetani gani nikamnyonge aliyewazindua Punda nyie

Thomas lemar msimu wa 2019/2020 umeisha ana 0 assist na 0 goal
Adjustments.jpg
 
Huyu Bernado ana nini kama hakutaka hao mashabiki wa Liverpool wamcheke wangekomaa watoke na ushindi sio kwenda kulialia Twitter as if mechi ilichezewa hukooo...

Whining cant win them anything.. Watulie sidano izameeee...


YNWA

Nilijua kachekwa na wachezaji, kumbe washabiki!

Washabiki kazi zao kuu ni mbili, kushangilia na kuzomea.

Anatakiwa alijue hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom