dong yi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 5,956
- 8,344
wakanaswa kwa Pepe 72mNakumbuka last season walivomkosakosa Mtu kwa Madison
Lakini nina uhakika kati ya Manure na Chelsea lazima mmoja wapo atapigwa kwa Chillwel
Lakini masihara mbali na Nyinyi mulikoswakoswa kupigwa kwa Thomas Lemar (£90M) na Wilfred Zaha (£75M)
Sijui Shetani gani nikamnyonge aliyewazindua Punda nyie![]()




