Haya karibuni leo usiku by 10:00 AM litapigwa kabungu moja la mabingwa wa kihistoria na pia anayewawakilisha mashindano ya ulaya kwa sasa. Msikose kuja kuangalia pressing za hatari
Bruno PernandezWewe Kenge uwe unajifunza adabu siku nyengine! Ona sasa ulibyobakwa Vichakani.
Alipitiwa na nini?Mkuu kuna kupitiwa apo tuna amini mkuu lembu alipitiwa tu
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app




Bado anasubiri game yake ni usiku wa saa 10:00 AMWewe Kenge uwe unajifunza adabu siku nyengine! Ona sasa ulibyobakwa Vichakani.
Lol £55m cash upfront... Basi wapeni ofa ya angalau £60m ila mlipe design ya Pepe kuliko hio cash.. Hio itawagharimu maana boss kubwa Stan kama ma bosi wetu utamsikia lazima muuze ili kununua...Tumepeleka £44m + Guendouz wamegoma wanataka £55m cash
😂😂😂Susoooo once Red always a Red..Nyumbu washakila mlungula huko
Nimefurahi sana Jana , Jumatatu imekuwa tulivuSusoooo once Red always a Red..
YNWA
£80mNyumbu bhana! Eti Maguire hawamtaki hafai
Kenge hawa Walipomsajili walikuwa wakisema ni Zaidi ya VVD pumbavu zao!
VVD ni Beki wa Sayari nyengine!
hahahaaa ila kwa yule walilamba garasa....... 80m pale ni hasara kubwa sanaNyumbu bhana! Eti Maguire hawamtaki hafai
Kenge hawa Walipomsajili walikuwa wakisema ni Zaidi ya VVD pumbavu zao!
VVD ni Beki wa Sayari nyengine!

Nimefurahi sana Jana , Jumatatu imekuwa tulivu