Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu DullyJr kumbe mnamtaka..

Aisee ndogo fundi all the best..

Shinda ni raisi wa Lyon mzee Jean yupo kama Levy wa Spurs yaaani atawapiga ela ndefu na mpaka basi hanaga huruma..

Huyo Thiago mpaka sasa mwenzio hajanishawishi japo chini ya Klopp naamini atakua moto zaidi... Shinda kwangu ni majeraha yake ndugu hilo tu..

YNWA
Thiago ni fundi haswaaaaaa...

Huyu Aouar sisi tumepeleka Guendouz na pesa na wamegoma, hao jamaa wanataka kuwapiga watu pesa ndefu
 
Kutoka kwa highest reliable source Mohamed Bouhafsi
IMG_20200816_212521.jpeg
 
Thiago ni fundi haswaaaaaa...

Huyu Aouar sisi tumepeleka Guendouz na pesa na wamegoma, hao jamaa wanataka kuwapiga watu pesa ndefu
Mkuu binafsi mkimkosa huyo ndogo basi aje kwetu huyu Thiago Kwangu bado sijashawishika na kasi ya EPL atakua ni mteja wa daktari mara kwa mara...

Kumtoa pale mjiadae maana Jean hua hana huruma kwenye biashara ni kichwa ngumu..

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom