Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

£27 kwa liver ni hela ya nyanya nashangaa kuna Kops wanaionea uchungu utazani wanachangishwa kumnunua, wanasahau liver tukielekea kuwa midtable club tulinunua magarasa mia kwa zaidi ya £ 30 kila garasa!

Kwa soko la wakati huo Tulimnunua Andy Carroll kwa £35M ambapo kwa soko la sasa ni sawa na £100M+
OX tumemnunua kwa £35M kuja kuvaa POP tu! Lakini kwasababu hahatarishi nafasi ya Captain basi Watu wameridhika.
Lakini Alcantara kwasababu anaweza kuhatarisha nafasi ya Captain Watu wanasema £27M ni nyingi sana.
 
ngoja na sisi tuendelee kusema front 3 isiguswe, barça yamewakuta kwa sababu ya kuendekeza huu ujinga wa flani na flani wasiguswe!


hendo,gini,firmino wamechoka, zije damu mpya vinginevyo tutaendelea kumsingizia Adrian wakati timu overall ilikua mbovu!
Adrian tunamsingizia kwa lipi mkuu? Firmino na gini ndo waliachia magoli yaingie gemu ya ATM?
 
Adrian tunamsingizia kwa lipi mkuu? Firmino na gini ndo waliachia magoli yaingie gemu ya ATM?

Adrian alituangusha sana kwenye ile game lakini simpi lawama hata kidogo kwasababu moja tu! Tumejisababishia wenyewe kuwa na Wachezaji aina ya Adrian kwasababu sasa FSG ndiyo style yao mpya ya usajili kuvizia na kuokota Wachezaji Wasio na Mikataba na Wale Timu zao zilizoshuka daraja wajizolee.

Adrian kaokotwa Mtaani anacheza Chandimu hana Timu yoyote iliyokuwa inamtaka tulitegemea afanye nini?
 
Performance ya mechi moja haimfanyi mchezaji kuwa bora nadhani wahusika wanaangalia performance ya muda mrefu na vigezo vingine. Unaweza kushangaa akaja Liverpool na kudhindwa kutupa tulichotarajia
Kuna mtu bado anamashaka na thiago alcantara kuhusu uwezo wake, au bado tunaangalia fedha yake kubwa.
 
Josep Maria Bartomeu Floreta kwa kumfukuza Kocha bado hajasolve tatizo, Timu imejaa Wazee na Mediocre players halafu unadhani tatizo ni kocha?

Afanye usajili tu wa Timu nzima isipokuwa Messi na Kipa tu.
Hii timu inahitaji msasa wa hali ya juu, bartomeu akijificha kwenye kivuli cha kocha msimu ujao wataumia tena.
 
Performance ya mechi moja haimfanyi mchezaji kuwa bora nadhani wahusika wanaangalia performance ya muda mrefu na vigezo vingine. Unaweza kushangaa akaja Liverpool na kudhindwa kutupa tulichotarajia
Alcantara hajaperform mechi moja ni vile yupo ligi isiyoangazwa sana na habari zake hazipenyi kwa haraka. Mara nyingi uefa ndio huiibua ubora wa timu na mchezaji mmoja mmoja.
Jamaa ni masta sana wa kutawala dimba. Hoja hapa ni je ataweza kuingia kwenye mfumo kwa haraka?.
 
Adrian alituangusha sana kwenye ile game lakini simpi lawama hata kidogo kwasababu moja tu! Tumejisababishia wenyewe kuwa na Wachezaji aina ya Adrian kwasababu sasa FSG ndiyo style yao mpya ya usajili kuvizia na kuokota Wachezaji Wasio na Mikataba na Wale Timu zao zilizoshuka daraja wajizolee.

Adrian kaokotwa Mtaani anacheza Chandimu hana Timu yoyote iliyokuwa inamtaka tulitegemea afanye nini?
Mkuu kwa kweli nikiri gemu ya ATM ilikuwa ni gemu ya makipa, ATM had a world class golie sie tulikuwa na pazia, kwa ujumla ile gemu hatukucheza vibaya. forward, middle na beki they played their best levels, tukija upande wa fsg kwa kwel hawa jamaa wanatuangusha sana, midtable clubs kama west ham inaweza kuvumilia kipa wake hata kama anafungwa kila mechi, lkn ikifikia inasema huyu sasa basi ujue huyo mchezaji ni tatizo kubwa, ajab eti timu kubwa kama liver ikamuona ni dodo. Ni afadhali angekuwa kipa aliyetemwa na clubs kubwa make big clubs hata kosa la Bahati mbaya mchezaji anakuwa fired.
 
Give the guy a break last season alitupa Super cup, na aliplay part kubwa mwanzo wa msimu wakati Allison alivyokuwa injured. Ndio amefanya makosa kwenye baadhi ya games lakini pia Kuna mazuri amefanya mengi.
Mkuu kwa kweli nikiri gemu ya ATM ilikuwa ni gemu ya makipa, ATM had a world class golie sie tulikuwa na pazia, kwa ujumla ile gemu hatukucheza vibaya. forward, middle na beki they played their best levels, tukija upande wa fsg kwa kwel hawa jamaa wanatuangusha sana, midtable clubs kama west ham inaweza kuvumilia kipa wake hata kama anafungwa kila mechi, lkn ikifikia inasema huyu sasa basi ujue huyo mchezaji ni tatizo kubwa, ajab eti timu kubwa kama liver ikamuona ni dodo. Ni afadhali angekuwa kipa aliyetemwa na clubs kubwa make big clubs hata kosa la Bahati mbaya mchezaji anakuwa fired.
 
Mkuu kwa kweli nikiri gemu ya ATM ilikuwa ni gemu ya makipa, ATM had a world class golie sie tulikuwa na pazia, kwa ujumla ile gemu hatukucheza vibaya. forward, middle na beki they played their best levels, tukija upande wa fsg kwa kwel hawa jamaa wanatuangusha sana, midtable clubs kama west ham inaweza kuvumilia kipa wake hata kama anafungwa kila mechi, lkn ikifikia inasema huyu sasa basi ujue huyo mchezaji ni tatizo kubwa, ajab eti timu kubwa kama liver ikamuona ni dodo. Ni afadhali angekuwa kipa aliyetemwa na clubs kubwa make big clubs hata kosa la Bahati mbaya mchezaji anakuwa fired.
Backup Goalkeeper wananunuliwa kwa Emergency tu,
Ni Goalkeeper gani wa timu kubwa anayeweza kukubali kukaa Benchi nusu ya msimu mzima kwa ajili ya Backup.

He deserves a lot of respect, Adrian amechangia part kubwa ya mafanikio ya team last season
 
Give the guy a break last season alitupa Super cup, na aliplay part kubwa mwanzo wa msimu wakati Allison alivyokuwa injured. Ndio amefanya makosa kwenye baadhi ya games lakini pia Kuna mazuri amefanya mengi.
Kuna vitu vingine vinachekesha kweli kweli, so kupangua hicho kipenati super cup ndo tufumbie macho ugarasa wake? League cup katuponza yeye, uefa katuponza yeye bado tu mnaye.
 
Backup Goalkeeper wananunuliwa kwa Emergency tu,
Ni Goalkeeper gani wa timu kubwa anayeweza kukubali kukaa Benchi nusu ya msimu mzima kwa ajili ya Backup.

He deserves a lot of respect, Adrian amechangia part kubwa ya mafanikio ya team last season
Wanakop tunakwama wapi? Sawa hatuwezi kupata starting goalie kutoka big clubs kama barca, Bayern, juve, real au PSG ndo tukaokote kipa aliyekosa timu tena hata midtable club kama west ham imeona hafai hata kwa backup, liver ndo angefaa? Gerald ana heshima kubwa liver lkn ilifika muda akaondoka pale anfied ije kuwa Adrian?
 
Wanakop tunakwama wapi? Sawa hatuwezi kupata starting goalie kutoka big clubs kama barca, Bayern, juve, real au PSG ndo tukaokote kipa aliyekosa timu tena hata midtable club kama west ham imeona hafai hata kwa backup, liver ndo angefaa? Gerald ana heshima kubwa liver lkn ilifika muda akaondoka pale anfied ije kuwa Adrian?
Kipa kama yupi. Tunalaumu bila suggestion toa mf. Wa kipa ambaye atakubalika kuja kua back up.
 
Kipa kama yupi. Tunalaumu bila suggestion toa mf. Wa kipa ambaye atakubalika kuja kua back up.
Adrian anatosha! Naamini liver hata ikitenga £20m haiwezi kupata backup goalie wa kumsaidia Becker mwenye kiwango cha kumzidi Adrian, labda tuvizie goalie mwengne atakayetemwa na midtable club hapo EPL.
 
Kuna mtu bado anamashaka na thiago alcantara kuhusu uwezo wake, au bado tunaangalia fedha yake kubwa.
Vitu vya upendo kabisa
IMG_20200815_091312.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom