Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Buyern inafanya unyanyasaji wa kijinsia huko
Man City abebe ili wahashiamiane kwenye EPL.psg&man city yan sikutaman hata wafike nusu....... nataman uefa wafanye yao hizi timu zisibebe kombe!
mimi natamani hili kombe lisiende kwa waarabu...... psg na city wameharibu kabisa soka na pesa zao!Now 1-4
![]()






tena tuliwala kwaoMan City wasikutane na hawa mashetan wa german, wanapiga mpira balaaaa
Hivi liverpool mliwafunga vip hawa majin buyern munich




mshindi wa hapa anakutana na mshindi wa city/lyon.........Man City wasikutane na hawa mashetan wa german, wanapiga mpira balaaaa
Hivi liverpool mliwafunga vip hawa majin buyern munich
Nimemchanganya na Milan Baros, najua Crespo alikuwa kule kwa Azam ya UlayaCrespo hajawahi kuwa mchezaji wa liverpool
Man City wasikutane na hawa mashetan wa german, wanapiga mpira balaaaa
Hivi liverpool mliwafunga vip hawa majin buyern munich
Bao 8 najua umeziona mkuu hata hazijanishangaza kilichonishangaza ni Lewandowsk kufunga bao moja tuBarcelona ipi itakayofungwa na Bayern? Kama ni hii ninayoijua mimi ya Catalunia basi hata wacheze wanne tu hawawezi kufungwa na Bayern